maisha halisi

kama walivyo wanawake...unakuta mtu kakutingia Gucci (feki), kabeba Coach bag (feki), Fendi clutch (feki).....yote hii katika kuonyesha yu matawi ya juu na anazijua lebo za bei mbaya....kumbe hamna lolote

Am just thinking out loud, kama label anazijua ila hana uwezo nazo inakuwaje? Kuna tatizo akijibabua na hizo feki? Mimi nilifikiri tatizo ni pale anapoenda mpaka mtaa wa tatu kwa Amina amuazime label ya ukweli ili akawakoge ofisini? Au?
 
Am just thinking out loud, kama label anazijua ila hana uwezo nazo inakuwaje? Kuna tatizo akijibabua na hizo feki? Mimi nilifikiri tatizo ni pale anapoenda mpaka mtaa wa tatu kwa Amina amuazime label ya ukweli ili akawakoge ofisini? Au?

Tatizo ni zaidi ya unavyofikiri. Kuna suala la piracy hapo. Na piracy ni haramu. Si sahihi hata kidogo kwa wewe kama ni mchuuzi kunufaishwa na mteja anayenunua bidhaa zako zilizo feki kwa kutumia jina la wengine. Yaani uibe jina la watu, halafu uuze bidhaa zako kwa kuzinadi kuwa ndiyo "the real mccoy" bila hata ridhaa ya mwenye jina? Usiniambie unaona ni sawa kufanya hivyo!!

Kama uwezo hana, hakuna haja ya kunufaisha maharamia kwa kununua bidhaa zao feki. Kila siku kwenye nchi za watu kuliko na utawala wa sheria wachuuzi na wazalishaji wa kanyaboya wanakamatwa.
 
jamani hivi ni kwani watu tulio wengi hatukubali au tunapenda kuishi maisha yasiyo ya kwetu ukitazama maofisini mitaani watu wanapenda kuonekana wao ni watu wakubwa wakati hamna lolote
ukimuona mwenzio kavaa kitu cha thamani lazima uonyeshe na wewe unacho au unataka competition isiyo na lazima hii hasa hasa kwa wadada
wanaume kutuonyesha mambo yako safi na kulaghai laghai watoto wa watu wakati unanuka madeni kila mahali,mwisho wa siku unaishia kwenye aibu zisizo tizamika embu tujaribu kuishi maisha halisi kwa uwezo tulionao ushindani mwingi haujengi unabomoa.
DO you know the reason(s) as to why wanakuwa hivyo............Hujawahi kuona watu wanaokoka ili kumpata demu.............??? Kifupi wanawake wanapelekea wanaume kuwa hivyo na wanaume nao wanapelekea wanawake kuwa hivyo........................... Tatizo ni kuwa tunatolea sana macho anayetenda na tunamwacha aliyesababisha
 
jamani hivi ni kwani watu tulio wengi hatukubali au tunapenda kuishi maisha yasiyo ya kwetu ukitazama maofisini mitaani watu wanapenda kuonekana wao ni watu wakubwa wakati hamna lolote
ukimuona mwenzio kavaa kitu cha thamani lazima uonyeshe na wewe unacho au unataka competition isiyo na lazima hii hasa hasa kwa wadada
wanaume kutuonyesha mambo yako safi na kulaghai laghai watoto wa watu wakati unanuka madeni kila mahali,mwisho wa siku unaishia kwenye aibu zisizo tizamika embu tujaribu kuishi maisha halisi kwa uwezo tulionao ushindani mwingi haujengi unabomoa.


Akili za kitoto ndizo zinazowasumbua, wakikua wataacha.
 
jamani hivi ni kwani watu tulio wengi hatukubali au tunapenda kuishi maisha yasiyo ya kwetu ukitazama maofisini mitaani watu wanapenda kuonekana wao ni watu wakubwa wakati hamna lolote
ukimuona mwenzio kavaa kitu cha thamani lazima uonyeshe na wewe unacho au unataka competition isiyo na lazima hii hasa hasa kwa wadada
wanaume kutuonyesha mambo yako safi na kulaghai laghai watoto wa watu wakati unanuka madeni kila mahali,mwisho wa siku unaishia kwenye aibu zisizo tizamika embu tujaribu kuishi maisha halisi kwa uwezo tulionao ushindani mwingi haujengi unabomoa.

"I am in competition with no one but myself...."BILL GATES!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom