kama walivyo wanawake...unakuta mtu kakutingia Gucci (feki), kabeba Coach bag (feki), Fendi clutch (feki).....yote hii katika kuonyesha yu matawi ya juu na anazijua lebo za bei mbaya....kumbe hamna lolote
Am just thinking out loud, kama label anazijua ila hana uwezo nazo inakuwaje? Kuna tatizo akijibabua na hizo feki? Mimi nilifikiri tatizo ni pale anapoenda mpaka mtaa wa tatu kwa Amina amuazime label ya ukweli ili akawakoge ofisini? Au?