Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Kwa Tanzania!! Ambako mtu anachukua pesa ya kujenga daraja anajenga kwake, pesa ya kujenga hospitali anajengea kimada, mradi anaukimbizia kusikostahili kwa sababu ana maslahi huko... ndio tupate mzalendo wa aina hiyo!?
hapana haitatokea kwa sababu wengi wetu HATUWAZI KITANZANIA... TUNAWAZA KINYUME NA TANZANIA!
Bado TUKO KWENYE ALINACHA!
Niliweka Avatar kama kumuenzi, na kumaanisha Watanzania tunahitaji kiongozi aina hiyo, Mkweli na Mzalendo kwa Nchi yake.
hapana haitatokea kwa sababu wengi wetu HATUWAZI KITANZANIA... TUNAWAZA KINYUME NA TANZANIA!
Bado TUKO KWENYE ALINACHA!
Niliweka Avatar kama kumuenzi, na kumaanisha Watanzania tunahitaji kiongozi aina hiyo, Mkweli na Mzalendo kwa Nchi yake.