Maisha baada ya kifo

nikwabie kitu kagoogle maana ya nature tusipotezeane muda kuchapa hapa
 
nikwabie kitu kagoogle maana ya nature tusipotezeane muda kuchapa hapa
Nacheka sana. Nashukuru kwa kunielewa mzee. Kazi imeisha. Sina muda wa kupoteza bro kwenda google wakati jambo japesi sana.

Nimemaliza.......
 
Wazee waKanisa washasema Kuna Maisha baada ya kifo. Hadi watakapobadilisha usemi huu naamini hivyo kwamba Maisha yapo basi. Siwezi kwenda kinyume na mafundisho ya wazee waKanisa
upo sawa mkuu
 

Dhambi ni nini?
Ni kuvunja kwa makusudi sheria (amri) alizoweka Mungu...

Mababu zetu, kwakutokujua utaratibu huo waliwekwa sehemu ambayo sio peponi wala sio jehanamu...Yesu alipokufa (alipouacha mwili wa kiubinadamu) alienda kuwapeleka wote peponi, walipewa favour

kifo chako ndio mwisho wako wa dunia...
 
Bill gates anakusanya pesa ili atakao waacha wasipate tabu...anataka wanae na wjukuu zake wale wasilie lie njaa
Kuna watu wanawadanganya wengine kuwa eti ukifa au tukifa wote tunakuwa sawa,...no no no big no..kama ni hivo kina Billgate na Jeff bezos wasingekuwa bize kukusanya pesa na uelewa wa jinsi dunia ilivyo..
 
kwa hiyo ukifa unaingia kwenye higher dimensions of life form na kila plane of reality inahabour roho zenye conciousness flani ziliyotoka nayo huko duniani kwenye 3D ( three dimension awareness).

Kwahiyo mkuu, tukifa tunaelekea sayari ya Mars (sumbura) ambayo ni ya 4 na itakua 4D?

Huenda,
Mercury (zebaki)= D
Venus (zuhura)= 2D
Earth (Dunia)= 3D
Mars (sumbura)= 4D
 
Hakuna mizimu mkuu, ni mashetani yanayozidi kuwalaghai watu
 
Wanaotafuta pesa, wengi ni wajasiliamali...shughuli zao ni za hapa hapa Duniani...shughuli za mikono, wengine ni matapeli, vibaka, majambazi etc
Hata knowledge walionayo ni ya hapa hapa duniani...

Hata Bill Gates na wengine waliofanikiwa wameonekana wakianza chini na misoto kibao mpaka wanafanikiwa...
Sidhani kama Bakhera ujuzi wa kuuza ramba ramba alitoka nao sehemu nyingine...

Na tukifa, sidhani kama microsoft na Ice cream zitaweza kutumika...Roho haili wala hainywi....

Tukifa tunaenda kuanza maisha mengine mapya....


Dedication
Dunia tunapita eeeh, kila kitu kitabakiaaa (Samba Mapangala)
 
Necta ianpoandaa mtihani, inaamini kila swali lilitolewa, basi, umeshafundishwa mada husika..Necta inaamini pia umeshafundishwa kila kitu na una uwezo wa kupata 100% lakini kutokana na kupoteza umakini, au kutokua sahihi kabisa, ndio maana Grade A inaanzia 81%

Ninachomaanisha

Mungu anapomuumba binadamu, anategemea siku moja aione Roho yake (mwanadamu) baada ya kifo...
Unapowekwa Duniani, ndo unaamua kwa hiari yako uende wapi..Matendo yako ndio yatakayo kuelekeza wapi pa kwenda!

Eti mkuu Rodyizzy imani (sio dini) yako inakuambiaje kuhusu uzima wa milele?

Mungu anajua yote haya ndio maana anakupigania kwa kukupatia watumishi wake (wachungaji, mapadre etc)...Unaposhikwa na kushindwa kujishikiria, unapobebwa na kushindwa kubebeka, lazima utapambana na hali yako...

Hatima yako, ipo mikononi mwako....
 
nashukuru sana mkuu nimekupata vilivo,,
 
Amina,,,nashukuru kwa majibu yako na nimeelewa pia
 
1. Mungu ni mwenye uwezo kuliko yeyote yule asa anashindwaje kuhakikisha watu anayewauumba wawe wa peponi tu? Kitendo cha Mungu kumpigania mtu kwa hali na mali inamaanisha Mungu hataki mtu yeyote yule aende motoni, lakini kushindikana kwa kila alifanyalo Mungu kumnasua mtu na moto ina maana mikakati ya Mungu ime fail. je Mungu hana uwezo wowote ule ikiwa anazidiwa na binadamu aliyemuumba?

2. Wakati Mungu anakuumba wewe je alikuwa anafahamu ya kwamba huyu ninayemuumba akienda duniani atakuwa na maisha kadhaa wa kadha na tabia fulani fulani ambazo mwisho wa siku zitampeleka either peponi au motoni?

3. Mfano wa necta na Mungu hauna logic kwasababu necta ikitunga mtihani kumpa mtu inamaana wanapima ufahamu au uelewa wa mtu. Lakini Mungu akimpa mtu mtihani inamaana hapimi ufahamu wala uelewa wa mtu bali anajipima yeye mwenyewe kwamba kaumba kwa mapungufu ya asilimia ngapi.

Ni sawasawa na mtu aunde gari halafu alipeleke barabarani kulifanyia jaribio kisha akalikuta haliendi kama alivyotaraji liende inamaana kosa lipo kwenye uundaji wa hilo gari.
 
kuna mambo mengine yanaitaji kutafakali sana
 
Ni km vile hukumu ipo kichwani vile,ukifanya jambo ukawa guilty basi dhambi ukijisamehe umetubu umesamehewa.Hili swali najiuliza sana mie kwanini tuhamasishane kutenda mema wakati kuna wa motoni na wa mbinguni??hii ishu ya pepo na jehanamu sio kwamba inatokea kichwani pa mtenda mema na mabaya?
 
Mkuu una uono mpana sana kwa sababu hyo quran tunaifasiri juu juu ila ukizama utaona wanasayansi wanapita huko huko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…