Acheni uzushi kama hamuwezi kujitokeza hadharani kuthibitisha madai yenu.Wajitokeze hadharani ili muwateke??!!.
Acha ujinga dogo. Yaani wewe unajiandikiaga tu utafikiri umekatwa kichwaInafikirisha sana! Hata mavazi yake yanaonekana ni mapya kabisa.
Jela za sasa hivi siyo za miaka ya Zamani umkute mfungwa ana mapele mwili mzima jela zina maji ya kutosha watu wanaoga mara tatu kwa siku wanapakaga mafuta ya Nazi hakuna Lotion wala Carolight kule Jela ya wanawake ndo kabisa hata Mafeni yamefungwa.Tulijua tu kuwa kuna mfungwa amepaka mafuta na ngozi inamelemeta na glow alafu amsogelee Rais na kumnong'oneza. Script haijakaa sawa ile.
Lazima tumfuatilie kwa vile tunamlipa, wewe nani anakufuatilia ukiondoa mme wako.Mimi huwa nawashangaa sana. Mtu hamumpendi lakini kutwa kucha kufuatilia mambo anayoyafanya.
Tatizo la Samia ni kwamba hana 'credential' zozote za taaluma ya Sanaa; lakini hupenda kila mara kufanya sanaa kama mtaalam katika eneo hilo.Hii nchi ya ajabu sana na hatujui lengo la haya maigizo ya yule mfungwa hususani wa kiume yanamaanisha nini.
Binafsi, namfahamu yule jamaa na kama kuna mtu wa Newala anaweza akawa anamjua yule jamaa.
Yule jamaa wa kiume sio mfungwa na hajawahi kufungwa popote. Namjua na anaishi Newala.
Jamaa anaitwa Rashid Juma anaishi hapa Kikuyu Newala st. Marry Street. Hajawahi kufungwa mahali Popote. Jamaa huwa anajifanyaga Mtu wa System na ni kada maarufu hapa Newala. Huu uongo wa Bibi yenu kama ulikuwa kwa lengo la kupoteza maboya(SPINNING) kuhusu Mafuta au kuhusu 29 October, mwambieni alete igizo lingine.
Inasikitisha sana. Huyu mama ni wa ajabu sana.
View attachment 3586582
Mkeo akitaka nimbaluze, huwa ananisumbua sama.Lazima tumfuatilie kwa vile tunamlipa, wewe nani anakufuatilia ukiondoa mme wako.
Toka "kuasisi" hadi kunong'onezana na mhalifu mwenzake jela!Daah hii nchi imekuwa circus Sasa 😂
Ujumbe uliofika ni kwamba Samia hana kikomo cha uigizaji.Kiusalama sioni tatizo, muhimu kama ujumbe umefika kwa walengwa
Limama lako ongo sana!.Mi CHADEMA mnapenda sana uongo , uzushi na Majungu. Jitokeze hadharani utoe ushahidi wako.
Mtu mzima tena logo ya Taifa kuamua kuwageuza Watz wote mandondocha kwa kuwadanganya. Kama anaweza kudanganya namna ile tena kwenye public vipi huko gizani??Maigizo ya mfungwa wa samia yanakuathiri vipi?
Yaani mfungwa anaruhusiwa kumnong'oneza Rais kwa karibu kiasi hicho wakati raia wa kawaida hawarusiwi kumkaribia hata mita 1.Hii nchi ya ajabu sana na hatujui lengo la haya maigizo ya yule mfungwa hususani wa kiume yanamaanisha nini.
Binafsi, namfahamu yule jamaa na kama kuna mtu wa Newala anaweza akawa anamjua yule jamaa.
Yule jamaa wa kiume sio mfungwa na hajawahi kufungwa popote. Namjua na anaishi Newala.
Jamaa anaitwa Rashid Juma anaishi hapa Kikuyu Newala st. Marry Street. Hajawahi kufungwa mahali Popote. Jamaa huwa anajifanyaga Mtu wa System na ni kada maarufu hapa Newala. Huu uongo wa Bibi yenu kama ulikuwa kwa lengo la kupoteza maboya(SPINNING) kuhusu Mafuta au kuhusu 29 October, mwambieni alete igizo lingine.
Inasikitisha sana. Huyu mama ni wa ajabu sana.
View attachment 3586582
Uongo wa namna hii hauna faida yoyote ile
Nili 🧐 doubt hata Mimi huwezi msogelea raisi kwa ukaribu huo tena mfungwa stranger..Hii nchi ya ajabu sana na hatujui lengo la haya maigizo ya yule mfungwa hususani wa kiume yanamaanisha nini.
Binafsi, namfahamu yule jamaa na kama kuna mtu wa Newala anaweza akawa anamjua yule jamaa.
Yule jamaa wa kiume sio mfungwa na hajawahi kufungwa popote. Namjua na anaishi Newala.
Jamaa anaitwa Rashid Juma anaishi hapa Kikuyu Newala st. Marry Street. Hajawahi kufungwa mahali Popote. Jamaa huwa anajifanyaga Mtu wa System na ni kada maarufu hapa Newala. Huu uongo wa Bibi yenu kama ulikuwa kwa lengo la kupoteza maboya(SPINNING) kuhusu Mafuta au kuhusu 29 October, mwambieni alete igizo lingine.
Inasikitisha sana. Huyu mama ni wa ajabu sana.
View attachment 3586582
Yule jamaa wa kiume sio mfungwa na hajawahi kufungwa popote. Namjua na anaishi Newala.😊Hii nchi ya ajabu sana na hatujui lengo la haya maigizo ya yule mfungwa hususani wa kiume yanamaanisha nini.
Binafsi, namfahamu yule jamaa na kama kuna mtu wa Newala anaweza akawa anamjua yule jamaa.
Yule jamaa wa kiume sio mfungwa na hajawahi kufungwa popote. Namjua na anaishi Newala.
Jamaa anaitwa Rashid Juma anaishi hapa Kikuyu Newala st. Marry Street. Hajawahi kufungwa mahali Popote. Jamaa huwa anajifanyaga Mtu wa System na ni kada maarufu hapa Newala. Huu uongo wa Bibi yenu kama ulikuwa kwa lengo la kupoteza maboya(SPINNING) kuhusu Mafuta au kuhusu 29 October, mwambieni alete igizo lingine.
Inasikitisha sana. Huyu mama ni wa ajabu sana.
View attachment 3586582
Jela za Tanganyika pekee ndio kuna hizo huduma
Chadema wanahusikaje hapo!?Mi CHADEMA mnapenda sana uongo , uzushi na Majungu. Jitokeze hadharani utoe ushahidi wako.
Hapa alisahau kuitoa kabla ya kuanza maigizo