Maigizo ya “MFUNGWA WA SAMIA”

Maigizo ya “MFUNGWA WA SAMIA”

Mtu mzima aache kudanganya watu au wewe unaona mtu mzima kufake matukio ni sawa.
Mimi sina hata huo muda wa kufuatilia anayoyafanya, so yawe maigizo au siyo, i dont give a fck. Nawaonea huruma nyie mnaomfuatilia kila anakopita halafu anaishia kuwapa sukari tu.
 
Mimi huwa nawashangaa sana. Mtu hamumpendi lakini kutwa kucha kufuatilia mambo anayoyafanya.
Hakuna anayemfuatilia, tunayakuta humuhumu na mengine mnaanzisha nyinyi chawa. Imagine mnasema uongo kupotosha watu kwanini msiumbuliwe kabla uongo wenu haujaanza kuaminika kwa wasio na uwezo wa kuchambua mambo.
Secondly amejipachika ikulu kimabavu kwa kumwaga damu za watu hivyo anaathari za moja kwa moja kwa raia na nchi kwa ujumla.
 
Na huu ndio ukweli wenyewe kabisa.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Hakuna anayemfuatilia, tunayakuta humuhumu na mengine mnaanzisha nyinyi chawa. Imagine mnasema uongo kupotosha watu kwanini msiumbuliwe kabla uongo wenu haujaanza kuaminika kwa wasio na uwezo wa kuchambua mambo.
Secondly amejipachika ikulu kimabavu kwa kumwaga damu za watu hivyo usenge wake unaathari za moja kwa moja kwa raia na nchi kwa ujumla.
Nyie ni malodilofa , acheni kuhangaika na mtu mnayejua kabisa anawadanganya. Mkiendelea na huo mchezo tofauti yenu na chawa wa mama itakuwa ndogo sana.

Am out.
 
Mimi sina hata huo muda wa kufuatilia anayoyafanya, so yawe maigizo au siyo, i dont give a fck. Nawaonea huruma nyie mnaomfuatilia kila anakopita halafu anaishia kuwapa sukari tu.
Huna muda wa kufuatulia anayoyafanya, kisha unajibu wanaomzungumzia?! Si ungepiga kimya ili usiwe sehemu ya mjadala wake?
 
Mi huwa nafarijika tu nikiona mihaters ya Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, inavyohangaika na kutapatapa kama hivi.

Aisee, huyu mama namwandalia tuzo ya heshima kwa jinsi anavyofanya 'silent killings' ya hawa nyumbu. Anawabonyesha kizenji bonyeeee basi yenyewe inakuja wangu wangu na mipumzi yao na kujimaliza yenyewe🤣🤣🤣
 
Hii nchi ya ajabu sana na hatujui lengo la haya maigizo ya yule mfungwa hususani wa kiume yanamaanisha nini.

Binafsi, namfahamu yule jamaa na kama kuna mtu wa Newala anaweza akawa anamjua yule jamaa.

Yule jamaa wa kiume sio mfungwa na hajawahi kufungwa popote. Namjua na anaishi Newala.

Jamaa anaitwa Rashid Juma anaishi hapa Kikuyu Newala st. Marry Street. Hajawahi kufungwa mahali Popote. Jamaa huwa anajifanyaga Mtu wa System na ni kada maarufu hapa Newala. Huu uongo wa Bibi yenu kama ulikuwa kwa lengo la kupoteza maboya(SPINNING) kuhusu Mafuta au kuhusu 29 October, mwambieni alete igizo lingine.

Inasikitisha sana. Huyu mama ni wa ajabu sana.
View attachment 3586582
Uongo wa namna hii hauna faida yoyote ile
 
Back
Top Bottom