Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Atakufa yeye CCM ataiacha!
Machungu ya kutemwa kwenye gari lisilo na namba.
Machungu ya kutemwa kwenye gari lisilo na namba.
Maige amesema kwamba fedha aliyotumia kununulia hilo jumba ni pesa YA MKOPO KUTOKA BENKI WALIYOKOPESHWA KWA DHAMANA YA SERIKALI. Hiyo ni kwa WABUNGE wote .Yeye pesa yake kanunulia nyumba na Wabunge wengine wamefungua BIASHARA ambazo hawalipii hata kodi. Gharama ya nyumba anadai haifiki hizo dola kati ya 400,000-700,000 na amewaambia TAKUKURU waende kwa wakala wa uuzaji nyumba watapata bei halisi ya nyumba hiyo!
Tunajua TAKUKURU wako kazini baada ya muda mfupi tutapata majibu nani anasema ukweli.
Sasa watapumuaWale Twiga wetu jamani twiga twiga twiga twiga! Tena wazimaaaaaaaaaa!!
pole maige, hamia kwenye basi kubwa cdm usibanane kwenye hako kabito ambacho kila m2 anataka kua dereva au akae siti ya mbele
[/QUOTE]Maige ni Mbunge wangu ni mchapa kazi kweli,
ila NAMUUNGA MKONO na tunakaaahame chama kwenda CHADEMA NA BADO TUNAMPENDA[
QUOTE=Pharaoh;3954360]Kwa nini hajaleta utalii wa bahari ya Tanzania bara isiokuwa mahoteli, tungewapunguzia watalii wa beach zanzibar manake ndio wanaowapa jeuri
pole maige, hamia kwenye basi kubwa cdm usibanane kwenye hako kabito ambacho kila m2 anataka kua dereva au akae siti ya mbele
waziri 'mstaafu' aliyekimbia na masanduku ya kura za urais. Hakuna ajuaye jk alipata kura ngapi wala dr. Slaa wala tume
pole maige, hamia kwenye basi kubwa cdm usibanane kwenye hako kabito ambacho kila m2 anataka kua dereva au akae siti ya mbele
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja aliwapa pole wana Kahama kwa kile alichodai kumpoteza mpiganaji, na zawadi kwa wananchi wa eneo hilo, hivyo kuichezea bahati hiyo ni ujinga kwa wale wasiopenda maendeleo.Nafasi hizi hutolewa na Rais na haulizwi; ndivyo hivyo anapoamua kumpumzisha aliyemteua pia haulizwi. Inapotokea eneo kupata waziri ni fursa nzuri ya kupiga hatua katika maendeleo leo Kahama fursa hiyo haipo tena, alisema Mgeja.