Bora kwa mwanaume ambaye si mbinafsi. Yeye akipata hata kidogo anikumbuke. Sio mtu anayeona kwamba kila kitu we ndio mtoaji. Tutoke out, hakuna siku mtu analipa pesa ya hata vinywaji. Tuwe wakweli, ubinafsi ni mbaya sana. Chako changu, changu changu... hapana kwa kweli.
Hapo umesemaUmekimbia mwanaume ambaye Hana akili ya maisha lakini ana mapenzi, unakutana na mwanume mwenye akili ya maisha lakini ni hit and run, Hana muda na wanawake Wala mapenzi ......
Huwezi pata mwanaume mkamilifu hii dunia ...
Unachofanya unakimbia tatizo tu ,
Punguza hasira tunaishi mara moja. Utajiju na hasira zako.Mpalestina katika ubora wako.......kwani wewe unavyo jisifia hivo na kujiweka hiyo class katika hayo mahusiano unaongeza Nini Cha ziada ....? Kuna ulazima gani wa kuwa na wewe.....? Lipi ambalo lipo kwako kwa wengine hamna .....? .....for sure hao wanaume wasio na akili unawaendesha Kama makatapila ndio levo zako
Big boys huwezi kuwaambia hivo Bali wao ndio watakuambia fanya moja mbili tatu simple and clean .
Sasa hao wako ili tu muende mkasuguane lazima mgimbanee na kuoneshana umwamba for sure wewe ni cheaper ila umejipa tittle sio ....jishushe muendelee kuvimbiwa magimbi na hao jamaa zako
loohhh....Aiseee haya mapenzi mimi mbona sina? Yaani amekugeuza chuma ulete wewe ndo mtoa pesa? Uko nae miaka 9? Wewe umerogwa sio bure, mpuuzi anaishi kwao miaka hiyo yote?
Kweli kuna wanawake mnapenda kiboya sana.mimi mwanaume ambae hatowi chochote kwangu siwezi mvumilia zaidi ya miezi 3.
Mpalestina katika ubora wako.......kwani wewe unavyo jisifia hivo na kujiweka hiyo class katika hayo mahusiano unaongeza Nini Cha ziada ....? Kuna ulazima gani wa kuwa na wewe.....? Lipi ambalo lipo kwako kwa wengine hamna .....? .....for sure hao wanaume wasio na akili unawaendesha Kama makatapila ndio levo zako
Big boys huwezi kuwaambia hivo Bali wao ndio watakuambia fanya moja mbili tatu simple and clean .
Sasa hao wako ili tu muende mkasuguane lazima mgimbanee na kuoneshana umwamba for sure wewe ni cheaper ila umejipa tittle sio ....jishushe muendelee kuvimbiwa magimbi na hao jamaa zako
Heshima kwa x. Nimegundua X za shule ndo XMpo kwenye mahusiano zaidi ya miaka 9, na jamaa amerudiana na ex wake!?
Mnaosemaga hivi ndio huwa mnatiwa na vituko kweli yani akina Sajna🤣Good umechangia vizuri fala yule analelewa miaja 9? Mimi hayo mapenzi sina. Huyo mchunaji.
Alichokosea jamaa ni kutompa mimba😂 mtoto akishaingia kwenye ramani ya maisha yenu tu akili zitakuja!Miaka 9 hamna hata mtoto mmoja? Fanya akupe mtoto kwanza akil itatulia
Ila kuna swala moja, nyie ni wapenzi wa muda mrefu! Unaposema huoni muelekeo maana yake ni nini? Jamaa yako kazi hana na haangaiki ama shida inakuwa ni nini? Kama ana kazi je, hamkai mkazungumza kwamba kwa mipango ya maisha mnataka kutekeleza nini kwa mwaka husika ama jamaa anakataa kutoa ushirikiano kwenye hizo plans?Mkuu hilo suala la kurudiana na ex najua sababu nimepunguza mapenzi. Upendo wangu kwake umeshuka sana. Ni mtu ambaye nikijisikia kurudiana naye its just after masaa matatu naweza kudate naye. So hiko sio kitu kinachoniumiza. Najua anafanya hivyo sababu l told him tuachane. So lazima atafute mtu wa kumkeep busy. Ishu ni kwamba sioni muelekeo yeye akiwa kama kiongozi wa familia tunayotaka kuanzisha
Hili swala la “nikijiskia kurudiana naye its just after masaa matatu” ni tatizo jengine ambalo jamaa amelitengeneza kwa upuuzi wake😅...Mkuu hilo suala la kurudiana na ex najua sababu nimepunguza mapenzi. Upendo wangu kwake umeshuka sana. Ni mtu ambaye nikijisikia kurudiana naye its just after masaa matatu naweza kudate naye. So hiko sio kitu kinachoniumiza. Najua anafanya hivyo sababu l told him tuachane. So lazima atafute mtu wa kumkeep busy. Ishu ni kwamba sioni muelekeo yeye akiwa kama kiongozi wa familia tunayotaka kuanzisha
Kumbe na wewe umeona eeh....sema mleta mada hataki kusema tuu ila jamaa alokiwa anamgegeda vizuri ndio maana kavumilia miaka yote tisa. Chezeya 🍆 weyeMwamba anapush pipe ya aina gani mpaka ukaweka opportunities zako on hold for 9 years!
Mimi nakwambia in ten years hawa watakuwa wanatutafuta wenyewe kutupa mbususu zao tuwagegede maana waoaji hawatakuwepoHili swala la “nikijiskia kurudiana naye its just after masaa matatu” ni tatizo jengine ambalo jamaa amelitengeneza kwa upuuzi wake😅...
Mkianza kufikiria familia je, yeye yupo tayari kuwa na familia kwa sasa? Uchumi wake una ruhusu au sababu wewe umefika 30 unataka umburuze ili uolewe haraka?
Zimwi likujualo halikuli likakwisha..nakuacha na huu msemo maana ni kwamba heri huyo unayemjua madhaifu yake ukakaa nae chini vizuri mkayajenga. Ukianza kutafta partner upya sahizi you will surely waste another 4-5 yrs
Hahahahaha itakuwa mizigo tunagewa for free tuichakate tu😅 maana mashoga wanaongezeka kwa kasi mnoMimi nakwambia in ten years hawa watakuwa wanatutafuta wenyewe kutupa mbususu zao tuwagegede maana waoaji hawatakuwepo
Kuhudumia familia sio mchezo halafu anatokea mpumbavu anasema mwanamke akiwa sio muaminifu si unaachana nae tu😅 kizembe zembe tu hivi? Acha wapigwe kabali tu wafeIla hafai bhana, hata kama ni anakimbia tatizo,,mimi bora niwe na huyo ambae hana mapenzi ila anajielewa,,,,hahahha i mean atatunza familia yake ,,mimi na watoto wangu,,unajua wanawake hatujazoea ile kumhudumia mwanaume,,ni kazi sana mkuu asikuambie mtu aisee
Tuombee uhai tuu nakwambia hizi threesome tunazozungumza humu jf utaziona matani regulary wanaume tunaletewa mbususu bila shidaHahahahaha itakuwa mizigo tunagewa for free tuichakate tu😅 maana mashoga wanaongezeka kwa kasi mno
HahahahhahaTuombee uhai tuu nakwambia hizi threesome tunazozungumza humu jf utaziona matani regulary wanaume tunaletewa mbususu bila shida
Kumbe kinachowauma ni zile hela mnazotumia kumtunza na sio mwanamke kuliwa mbususu 🤣🤣🤣🤣🤣Kuhudumia familia sio mchezo halafu anatokea mpumbavu anasema mwanamke akiwa sio muaminifu si unaachana nae tu😅 kizembe zembe tu hivi? Acha wapigwe kabali tu wafe