Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,939
- 61,733
Piga chini wote upate amani ya rohoniHapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.
Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.
Ndio nawatafutia sababu, lakini ni wabishi kuachika.Piga chini wote upate amani ya rohoni
Naogopa nisije kuwa mzee wa hovyo huko mbeleniKama wanakula vyako na wewe una wala vyao hakuna mbaya, wachape ilale.
Nini kifanyike?Muda mwingine nguvu za kiume zikizidi michongo mingi itakwama.
Mkuu, Kwani ni lazima?Hapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.
Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.
Wakulima siku hizi hamna, wamekimbilia mijini kwenda kuwa wamachinga.Achana na mapenzi, bado unajitafuta wewe, hiyo hela kawekeze kwenye kilimo.
Hunitakii mema mkuuOngeza wa saba
KwaniniHunitakii mema mkuu
Safi kabisa, nitumie sadaka yako ili upate mafanikio.Duh....
BWANA ndiye mchungaji, wangu sitapungukiwa na kiu!
Matatizo juu ya matatizo nitashindwa kupumuaKwanini
Hapana umesahau dawa ya moto ni moto, akili itachangamka si mnasema kila mmoja anakuja na riziki yakeMatatizo juu ya matatizo nitashindwa kupumua