Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
yaani wewe unashangaa,hio picha tu,watu humu wanazimia avatar na maandishi?
nimempenda sababu tunawasiliana kny simu baada ya facebook,ktk maongezi anaonekana ni charming na mpole kisha anajali maaana ananipigia/text siku nzima,baby umeamkaje,siku njema mke wangu na ulale salama ni maneno yake....lol kitu ukikipenda hata kama kiko mbali unajua,kama humpendi hata akiwa karibu unajua tena siku ya kwanza unajua.:der::der:
Kabla hajakupata hizo text na simu ni mpaka utakimbia simu yako, subiri akupate.....msg unapata kwa mgao
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums