Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

yaani wewe unashangaa,hio picha tu,watu humu wanazimia avatar na maandishi?

nimempenda sababu tunawasiliana kny simu baada ya facebook,ktk maongezi anaonekana ni charming na mpole kisha anajali maaana ananipigia/text siku nzima,baby umeamkaje,siku njema mke wangu na ulale salama ni maneno yake....lol kitu ukikipenda hata kama kiko mbali unajua,kama humpendi hata akiwa karibu unajua tena siku ya kwanza unajua.:der::der:



teh teh teh Tarlisha hapa hakuna mapenzi mamito.

bado tu anatathmini jinsi gani atakupata then asepe!
 
Last edited by a moderator:
Facebook hakuna mapenzi ya kweli kabisa.Mtu asikudanganye.kuna jamaa yangu ana gf wake kule.GF wake akimuambia tuweke hadharani uhusiano wetu hataki.Ukitaka mahusiano,dont go on fb.Mtapangwa kama nyanya.Most guys kule ni Playerz.Dada zangu,muomben mungu utapata mume mzuri tu,siyo mpaka kujitundika fb.Halafu muanze kulia.Kumbuka mume au mke bora atoka kwa bwana.FB fanya place ya kumeet ur lost friends tu,na siyo partner wa maisha.
 
Hahahaha Remmy hujui mapenzi?Mbona wapo walioonana kwa style hiyo na wameoana...!Lol
Kweli mapenzi ya ajabu!! unampenda mtu kwa uandishi wake tu, ha ha haaaaaa unaona ka ana roho nzuuriiiii.......mweeeeSipingani nawewe mkubwa.
 
Last edited by a moderator:
Kwa wachumba tu wa temporary kule wamejaa tele tu.Msifie tu,hata kama hajapendeza.Unampata kiulaini tu.FACEBUK IZ not a gud place to find your muke au mume.
 
sipo fb, sijawahi kuingia huko, na sitakaa nikaingia fb. ila nipo jei efu na YM kanivunia hapahapa! lolest!
 
watu wanajua ni fakebook, lakini utamaduni wa fix-fix unawafanya wapende.

Chat,flirt,done everythin,but wen u live fk buk,unapo log out..Yaan palepale uyaache ya humo fb.Dont put them fcbk words into ur head.Some mean it,some Not..Most gals,wanaweka ukweli kwamba,wen a boy say i lv u,he mean it.NOT.wengine ndo alivyo lv u nyingii.But after there,he or she goes to his or her real girl or boy.Wewe unabakia na kopakopa tu.Mwenzio anamuwaza future wife wake wa hukoo ajuako.akija fb,anakutafuta.SO,GALS BE VERY CAREFUL.
 
mkuu umeongea point bila chenga. asilimia kubwa ya wanaume kabla ya kumpata mwanamke hutumia njia zote fake azijuazo, akimpata tu ndo huanza excuse nyiingi,mara vikao,mara safar zisizoisha mara cm ilikuwa mbali,mara nlipitiwa na ucngz ckuckia. kha wanaume bana c wenzetu!

Naomba kuuliza: Kwani mwanamke hawezi kumpata mwanaume?
 
Mapenzi ya kweli yapo, haijalishi hao watu wanakutana wapi. Kama wameanza kukutana facebook haimaanishi hawawezi kuwa na mapenzi ya ukweli. Ingawa vijana wengi wanaingia katika hizi social media kutafuta mahusiano ya muda, ndo maana wengi wanajitahidi kuweka picha ambazo zinavutia zaidi (Photoshop).
Kweli kaka, mi nimepata mpenzi wa kweli, tumeonana, yuko fit na tunaendelea kupendana
 
Hebu ngoja na mimi nifungue account huko nikavune chupi zangu kadhaa.
 
heee tena nikapost mana kuna mtu. anajisogeza
 
mie nimekutana na mwanaume,nimempenda na yeye anadai ananipenda,anataka tuonane ila mie namzingua maana picha nilizoweka zimetoka vizuri na slim,wkati mie ni wa kawaida na ni bonge,:happy::der::der::der:

Mimi nadhani ni sahihi ungemkubalia muonane, halafu umuache mwenyewe aamue kuendelea na wewe au la. Unajuwa dhana siku zote sio kitu kizuri, unajuwaje kama yeye amevutiwa na wewe kwa kitu gani, mwengine labda amevutiwa na wewe kwa kusoma tu post zako na kutokana na hilo amepata picha wewe ni mtu wa aina gani.

usimbanie na yeye anaroho na moyo wenye nyama....una uma....
 
Nishaposwa na wa fb ....mnanitishaa nisijegeukwaa
 
Back
Top Bottom