Mahusiano na narcissist unaweza kufa!!

Mahusiano na narcissist unaweza kufa!!

Xiao qui shui

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2022
Posts
6,204
Reaction score
10,851
Wakuu habari zenu,

Moderators naomba msiunganishe huu Uzi na nyuzi zingine .

Nilikuwa na mahusiano na narcissist kwa muda wa miezi mitatu ila nimekoma kwa kweliii imebaki kidogo nife!

1.anajali hisia zake tu, zako anapuuza hata uwe unaumwa

2.ana asili ya unyonyaji akiamini kwamba yeye ndo anatakiwa kupewa kipaumbele kwenye mahusiano

3.anakuwa mkali ukimuonesha kwamba amekosea ( atafanya kila awezalo kuonyesha kwamba wewe ndo mwenye makosa)

4.hajiamini na anapenda kusifiwa sanaaa ili ajisikie vizuri

5. Amekuwa ni mtu anayeanzisha drama mara kwa mara na pia hukiri kwamba huwa anafanya hizo drama kwa makusudi coz huwa anajisikia mpweke

6. Ametengwa na marafiki zake( akidai kwamba wanamuonea wivu wa kwenye mahusiano yake)

7. Amekuwa ni mtu wa kulalamika sana kuhusu nyumbani kwao kwamba hawamtunzi vizuri na BLA BLA kibao

Aanyway najiona kama ni mfungwa aliyewekwa huru kwa kweliii
Je, ushawahi kukutana na narcissist kwenye mahusiano
 
Wakuu habari zenu,

Moderators naomba msiunganishe huu Uzi na nyuzi zingine .

Nilikuwa na mahusiano na narcissist kwa muda wa miezi mitatu ila nimekoma kwa kweliii imebaki kidogo nife!

1.anajali hisia zake tu, zako anapuuza hata uwe unaumwa

2.ana asili ya unyonyaji akiamini kwamba yeye ndo anatakiwa kupewa kipaumbele kwenye mahusiano

3.anakuwa mkali ukimuonesha kwamba amekosea ( atafanya kila awezalo kuonyesha kwamba wewe ndo mwenye makosa)

4.hajiamini na anapenda kusifiwa sanaaa ili ajisikie vizuri

5. Amekuwa ni mtu anayeanzisha drama mara kwa mara na pia hukiri kwamba huwa anafanya hizo drama kwa makusudi coz huwa anajisikia mpweke

6. Ametengwa na marafiki zake( akidai kwamba wanamuonea wivu wa kwenye mahusiano yake)

7. Amekuwa ni mtu wa kulalamika sana kuhusu nyumbani kwao kwamba hawamtunzi vizuri na BLA BLA kibao

Aanyway najiona kama ni mfungwa aliyewekwa huru kwa kweliii
Je, ushawahi kukutana na narcissist kwenye mahusiano
Rayns Vincenzo Jr min -me Binti Sayuni03 Poor Brain Equation x haszu

Na wenginee wote karibuni
 
Unakutana na wa aina hiyo anakwambia "I was in a toxic relationship" unampa pole unamhug ukidhania yeye ndio victim kumbe 🙂
Duuuh hapana kwa kweliii nilijitahidi kumfanya ajisikie vizuri, lakini Bado ananiona Sina thamani kwake yoyote, saiziii anahangaika na kutuma meseji hapaa kwa namba ngeni TU, na aliomba msamaha kwamba nimpe last Chance Cha ajabu karudia Tena yale Yale, ishaisha HIYO 😎
 
Duuuh hapana kwa kweliii nilijitahidi kumfanya ajisikie vizuri, lakini Bado ananiona Sina thamani kwake yoyote, saiziii anahangaika na kutuma meseji hapaa kwa namba ngeni TU, na aliomba msamaha kwamba nimpe last Chance Cha ajabu karudia Tena yale Yale, ishaisha HIYO 😎
Ni wa kike man?
 
Wakuu habari zenu,

Moderators naomba msiunganishe huu Uzi na nyuzi zingine .

Nilikuwa na mahusiano na narcissist kwa muda wa miezi mitatu ila nimekoma kwa kweliii imebaki kidogo nife!

1.anajali hisia zake tu, zako anapuuza hata uwe unaumwa

2.ana asili ya unyonyaji akiamini kwamba yeye ndo anatakiwa kupewa kipaumbele kwenye mahusiano

3.anakuwa mkali ukimuonesha kwamba amekosea ( atafanya kila awezalo kuonyesha kwamba wewe ndo mwenye makosa)

4.hajiamini na anapenda kusifiwa sanaaa ili ajisikie vizuri

5. Amekuwa ni mtu anayeanzisha drama mara kwa mara na pia hukiri kwamba huwa anafanya hizo drama kwa makusudi coz huwa anajisikia mpweke

6. Ametengwa na marafiki zake( akidai kwamba wanamuonea wivu wa kwenye mahusiano yake)

7. Amekuwa ni mtu wa kulalamika sana kuhusu nyumbani kwao kwamba hawamtunzi vizuri na BLA BLA kibao

Aanyway najiona kama ni mfungwa aliyewekwa huru kwa kweliii
Je, ushawahi kukutana na narcissist kwenye mahusiano
Huyu mtu angekumaliza aisee kuna binadamu hawapendi amani hata kidogo mimi huyu wangu ukikosea jambo dogo tu litakuzwa hilo utanuniwa siku 3 hadi uombe misamaha ya kutosha
 
Huyu mtu angekumaliza aisee kuna binadamu hawapendi amani hata kidogo mimi huyu wangu ukikosea jambo dogo tu litakuzwa hilo utanuniwa siku 3 hadi uombe misamaha ya kutosha
Katika kupita pita YouTube naona sifa zotee za covert narcissist anazo, hakuna haja ya kuendelea kuungua kwenye ziwa la Moto bila SABABU
 
Back
Top Bottom