Miss Kim
Senior Member
- May 3, 2014
- 164
- 273
Habari za mchana wakuu. Poleni na shughuli za ujenzi wa Taifa.
Nimatumaini yangu kwamba wote hatujambo na wazima wa afya.
Nimejikuta nikiwaza na kuwazua juu ya jambo fulani; mahusiano na mitandao ya jamii. Hivi inakuwaje watu siku hizi kuanika mambo yao kwenye mitandao ya jamii?
Unakuta watu ndo mmekutana na kuwa wapenzi, within a month tayari umeshapost picha IG ama Facebook ukiwa na mpenzi wako mpya looking all lovey dovey, mara una update status kila baada ya masaa mawili ilimradi tu watu wajue na ww umo, 3 months down the line mmeshabwagana na kila mtu kuchukua hamsini zake, picha ulizozianika huko kwenye mitandao inabidi uzifute na kumblock kabisa huyo muhusika.
Hivi kwanini wadada haswa haswa ndo waadhirika wakubwa wa huu ulimbukeni wa mitandao ya jamii? When you fall in love you let the whole world knows and when you fall out of love you go preaching to every John, Dick & Harry about your broken heart & stuff.
Is it really necessary for all that drama? Tunajisahau sana na mwisho wa siku unajikuta umeacha historia mbaya kwenye mitandao ya jamii kwasababu mara nyingi unachokiweka humo kinabaki katika kumbukumbu zao.
Tujifunze na kujirekebisha bandugu.
Nimatumaini yangu kwamba wote hatujambo na wazima wa afya.
Nimejikuta nikiwaza na kuwazua juu ya jambo fulani; mahusiano na mitandao ya jamii. Hivi inakuwaje watu siku hizi kuanika mambo yao kwenye mitandao ya jamii?
Unakuta watu ndo mmekutana na kuwa wapenzi, within a month tayari umeshapost picha IG ama Facebook ukiwa na mpenzi wako mpya looking all lovey dovey, mara una update status kila baada ya masaa mawili ilimradi tu watu wajue na ww umo, 3 months down the line mmeshabwagana na kila mtu kuchukua hamsini zake, picha ulizozianika huko kwenye mitandao inabidi uzifute na kumblock kabisa huyo muhusika.
Hivi kwanini wadada haswa haswa ndo waadhirika wakubwa wa huu ulimbukeni wa mitandao ya jamii? When you fall in love you let the whole world knows and when you fall out of love you go preaching to every John, Dick & Harry about your broken heart & stuff.
Is it really necessary for all that drama? Tunajisahau sana na mwisho wa siku unajikuta umeacha historia mbaya kwenye mitandao ya jamii kwasababu mara nyingi unachokiweka humo kinabaki katika kumbukumbu zao.
Tujifunze na kujirekebisha bandugu.