Ngonalugali
Ni bora angalia maisha yako na familia yako mkuu hawa wanawake anaweza kula pesa yako na usijue kapotelea wapi... wiki iliyopita sitakuja kuisahau katika maisha yangu. nilipata msichana mmoja wa chuo basi tukaanza relation, ndani ya hiyo wiki nimetumia laki tatu(3) kitu ambacho sikufikiria kwenye maisha yangu. ye kazi yake kubwa ni kwenda out kila siku na kuniomba pesa hovyohovyo. Nilikuwa nawasikia tu watoto wa chuo nimekoma nao.
Ngonalugali
Ni bora angalia maisha yako na familia yako mkuu hawa wanawake anaweza kula pesa yako na usijue kapotelea wapi... wiki iliyopita sitakuja kuisahau katika maisha yangu. nilipata msichana mmoja wa chuo basi tukaanza relation, ndani ya hiyo wiki nimetumia laki tatu(3) kitu ambacho sikufikiria kwenye maisha yangu. ye kazi yake kubwa ni kwenda out kila siku na kuniomba pesa hovyohovyo. Nilikuwa nawasikia tu watoto wa chuo nimekoma nao.
Miss Kim
Kwa hiyo ww ukiachana na mtu unamblock kbs?
Mm kwny mtandao kuna pic za mke wangu na mwanangu...sijawahi kuweka pic ya demu wangu kbs lkn sijablock ma-ex zangu we stil communicate when necessary huwa siachani na mtu kwa shari.
Dah, pole sana mkuu ila nachoamini ni kwamba kila kitokeacho kina sababu and what was meant to be shall be. Huyo uliingia choo cha kike aisee na afadhali alijiondokea zake bado mapema kabla hajakuingiza kingi. Mm huwa nasikitika sana kuwaona wadada wanao kurupuka na kuanza kuwatangazia halaiki juu ya mambo yao ya siri, utakuta mtu hata hajatulia na kumjua mtu vizuri ila tayari keshapost picha za huyo mpenzi wake na kuweka maneno kibao siku wakija tibuana inakuwa balaa!
Tunakuombea kwa Mungu umpate mke mwema atakaye kufaa katika ujana na uzee wako, all the best bruh!