Mahusiano na Mitandao ya Jamii

Mahusiano na Mitandao ya Jamii

sasa huyo dada hebu mwambie ukweli uone kichambo atakachokupatia tunachokifanya tunaangalia tu kwa sababu hakuna asie na mpenzi wala mume dunia hii ya sasa, kwa mfano kila mtu aamue kumueka wake hadharani patatosha, ni ulimbukeni tu sometimes hua nasema kuwa labda ni utoto wakikua wataacha Miss Kim
 
Last edited by a moderator:
Ujumbe mzuri sana,nadhani wamekusikia,ila ni ulimbukeni tu,na zaidi ni wengi wao kuwa idle hawana shughuli za kufanya ndo maana wanaamua kujiajiri Facebook.
 
Miss kim, ni kweli tupu wanawake ndio wahanga wakuu.siku zote mwanamke anajifunza baada ya kufanya kosa!!!
 
Miss Kim

Kuna wadau nilijaribu kuwaambia issue za kuoneshana mapenzi mitandaoni na katabia ka kutoa update za kinachoendelea kati yao kitawakost siku moja, i hope alinielewa lakini ndio maji yakishamwagika hivyo.

Afu sometimes ukiwastua na kuwambia izo issue sizo, basi wanakuona fyooonso.

Hope wewe watakuelewa.

Nawapongeza wote wenye missen special na kufanikisha kama M.....!
Apa nimeshika mpini ukishika makali nachinja.

I hope mafool watajifunza kitu hapa.
 
Last edited by a moderator:
Na mimi nimo kwenye hako kamchezo!

Jee nijifanye simo?

Are you for real?! Hivi umeshawahi kujiuliza miaka 10 ijayo utakuwa wapi na ni jinsi gani mambo yako kwenye mitandao ya jamii yanaweza kukuadhiri either directly or indirectly? Jifunze kuweka mambo yako private,bora uwe unaweka picha za ndugu zako na marafiki zako, hao wapenzi wako waache wabaki kuwa siri yako na marafiki zako wa karibu hadi pale utakapo mpata wa shida na raha mpaka kifo kitakapo watenganisha.
 
Hakuna kingine zaidi ya ujinga, ulimbukeni wa technolojia na kutojua madhara ya kufanya hivyo...!

Mambo mengi waTz (sijui kwa jamii zingine) tunafanya bila Ku foresee matokeo, hasa yale ambayo yameletwa na wazungu..tunadandia Fuso kwa mbele in many ways. Iwe mavazi, social lifestyle zetu na sasa social networks zimetuchanganya vibaya.
 
Ujumbe mzuri sana,nadhani wamekusikia,ila ni ulimbukeni tu,na zaidi ni wengi wao kuwa idle hawana shughuli za kufanya ndo maana wanaamua kujiajiri Facebook.

Khaa! Weye wasema fesibuku? Kule madogo tu.
Umu kunamijitu mizima haipungui miaka 30 na bado hako kaushamba kamewaganda nndiii...!
 
Hakuna kingine zaidi ya ujinga, ulimbukeni wa technolojia na kutojua madhara ya kufanya hivyo...!

Mambo mengi waTz (sijui kwa jamii zingine) tunafanya bila Ku foresee matokeo, hasa yale ambayo yameletwa na wazungu..tunadandia Fuso kwa mbele in many ways. Iwe mavazi, social lifestyle zetu na sasa social networks zimetuchanganya vibaya.

Umenena haswa Kaka Eli79. People do things without considering the aftermath or side effects of their actions and words. Take for instance miaka 15 ijayo ukagombea ubunge na kwa bahati nzuri ukafanikiwa kupata hiyo nafasi,what happens watu wanarudi nyuma na kutafuta historia yako and that's where trouble starts, magazeti hayaishi kukuandika unabaki kuduwaa walipata wapi habari zako kumbe ww mwenyewe ndo ulizifeed humo when you were young & ignorant. Jamani tutafakari na kuchukua hatua!
 
Are you for real?! Hivi umeshawahi kujiuliza miaka 10 ijayo utakuwa wapi na ni jinsi gani mambo yako kwenye mitandao ya jamii yanaweza kukuadhiri either directly or indirectly? Jifunze kuweka mambo yako private,bora uwe unaweka picha za ndugu zako na marafiki zako, hao wapenzi wako waache wabaki kuwa siri yako na marafiki zako wa karibu hadi pale utakapo mpata wa shida na raha mpaka kifo kitakapo watenganisha.

Ushauri mzuri but bichwa langu lilivyo box tupu sina maeneo mengine niyajuayo.

Wacha nionekane nami nimo, au haujui ktk kufanya hivyo kuna energy naingiza?
 
Miss Kim

HII POINT MZURI,MASHAALAH MTOTO UTAKUWA NA AKILI SANA WEWE!:A S wink:
 
Last edited by a moderator:
buhahahahaaaa ni shida niaje khaaaa me ndo mana naipenda jf mpaka unifahamu umefanya kazi kubwa huku hakuna maonyesho ya 8/8
 
Jamani hiyo ndiyo kawaida ya binadamu..."Kipya kinyemi..."

Mambo ya mitandao ni mapya kwa jamii zote na kwa hiyo watu bado wanajifunza...

Waache wachafuke kwani, "wasipochafuka watajifunzaje"? Ila baada ya hapo lazima watajua mahali salama pa kuchezea!

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom