X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Jinsi Ya Kumfurahisha Mkeo
1. Mapokezi Mazuri
Baada ya kurudi kutoka kazini, skuli, safarini, au popote pale palipowatenganisheni:
Anza kwa maamkizi mazuri
Anza kwa Assalaamu na tabasamu.
Salaam ni Sunnah na ni duaa kwake (mkeo) pia.
Mpe mkono na ziache habari mbaya mpaka baadae.
2. Maneno mazuri na makaribisho ya kufurahisha
Chagua maneno mema na jiepushe na maneno mabaya.
Shughulika nae unaposema au anaposema yeye
Sema kwa ufasaha na rejea maneno inapohitajika mpaka afahamu/aelewe.
Mwite kwa majina mazuri anayoyapenda, mfano Mpenzi wangu, honey (asali, tamtam), (habibty), swaaliha (mwanamke mwema), (mwanamke mrembo) n.k
3. Urafiki na maliwazo
Tumia muda kuzungumza nae
Mfikishie habari njema
Kumbuka kumbukumbu zenu nzuri za kuwa pamoja.
4. Michezo na burudani
Mfanyie mzaha na jiweke katika hali ya furaha
Chezeni na mshindane katika michezo na mambo mengine.
Mchukue kuangalia aina za burudani zilizo halali.
Jiepushe na mambo mabaya katika kuchagua aina ya burdani.
5. Msaada katika kazi za nyumbani
Fanya kile ambayo wewe mwenyewe unaweza/ unapenda kukifanya ili kumsaidia, hasa anapokuwa mgonjwa au amechoka.
La muhimu kuliko yote ni kumuonyesha wazi kuwa unathamini/unashukuru jitihada zake katika kazi.
1. Mapokezi Mazuri
Baada ya kurudi kutoka kazini, skuli, safarini, au popote pale palipowatenganisheni:
Anza kwa maamkizi mazuri
Anza kwa Assalaamu na tabasamu.
Salaam ni Sunnah na ni duaa kwake (mkeo) pia.
Mpe mkono na ziache habari mbaya mpaka baadae.
2. Maneno mazuri na makaribisho ya kufurahisha
Chagua maneno mema na jiepushe na maneno mabaya.
Shughulika nae unaposema au anaposema yeye
Sema kwa ufasaha na rejea maneno inapohitajika mpaka afahamu/aelewe.
Mwite kwa majina mazuri anayoyapenda, mfano Mpenzi wangu, honey (asali, tamtam), (habibty), swaaliha (mwanamke mwema), (mwanamke mrembo) n.k
3. Urafiki na maliwazo
Tumia muda kuzungumza nae
Mfikishie habari njema
Kumbuka kumbukumbu zenu nzuri za kuwa pamoja.
4. Michezo na burudani
Mfanyie mzaha na jiweke katika hali ya furaha
Chezeni na mshindane katika michezo na mambo mengine.
Mchukue kuangalia aina za burudani zilizo halali.
Jiepushe na mambo mabaya katika kuchagua aina ya burdani.
5. Msaada katika kazi za nyumbani
Fanya kile ambayo wewe mwenyewe unaweza/ unapenda kukifanya ili kumsaidia, hasa anapokuwa mgonjwa au amechoka.
La muhimu kuliko yote ni kumuonyesha wazi kuwa unathamini/unashukuru jitihada zake katika kazi.