Mahujaji 130 wamefariki katika ibada ya Hijja

Mahujaji 130 wamefariki katika ibada ya Hijja

"Rabaika Allahuma rabaika, la sharika laka Rabaika"

"Tumeitikia ewe Mola wetu tumeitika, hakika hatukushirikishi na yeyote"

Ya Rabbi taqabal minna waminkum....inna lillahi....!
 
May God the almighty rest their souls in eternal peace!

MANAMA, October 5 (RIA Novosti)

More than 130 pilgrims from Arab states have died in Saudi Arabia during the Hajj which has begun on October 2, due to exacerbation of chronic diseases and age-related complications, the International Islamic News Agency reported.

According to the report, released on Saturday, the biggest number of deaths (14) has been registered among the pilgrims, coming from Egypt. Casualties have also been reported among the religious travelers from Iraq, Algeria, Sudan, Morocco, Somalia, Yemen, Jordan and Mauritania.
Another 213 pilgrims are currently under treatment in the hospitals of Saudi Arabia.
The Hajj is a mandatory religious duty – an annual Muslim pilgrimage to Mecca, a city in Saudi Arabia. It should be carried out at least once during a Muslim person's lifetime. The Hajj presupposes strict observance of numerous rituals, including the standing on Mount Arafat, which lasts for many hours. These rituals are being observed during the daylight, when temperatures may exceed 35 C (95 F).
 
Kutokana na msongamano wa watu zaidi ya millioni 2 kutokea vifo ni jambo la kaiwaida sana na kila mwaka vifo vinatokea na ukizingatia kuna wazee wengi wanaenda kuhijji.kutokea vifo Meccah wa wala siyo issue
 
This is occult sacrifice. There is nothing new from the diabolical deity who denies God.

Si mara ya kwanza kusikia kuwa hii ni kafara ya kila mwaka inayoendelea kule.
Kuna mtu aliconvert alinieleza on details hii kitu.
Cha ajabu wahusika wenyewe hawaoni...wanasema msongamano..sijui uzee...sijui magonjwa..

Ukisikia kitu kifanyie kazi ujue ukweli wake..sio kupinga tu kama mwehu....ukweli haupiganiwi....unajipigania wenyewe.
 
Daah mbona mnatutisha kati ya hao kuna watanzania?
 
Ewe Mola nijaalie kuwa miongoni mwa waja wako utakaowajaalia kuitikia wito wa kuitembelea miji mitakatifu ya Makkah na Madina hapo mwakani ili kutekeleza ibada tukufu na nguzo ya tano ya dini yetu nzuri ya Kiislamu.
Na unijaalie kwa kadiri ya kadirio lako kwa uhai wangu kuwa Makkah al Mukkaramah kuwa eneo itakapotoka roho yangu.

Ya Allah nijaalie kuitikia Labbaika Allahuma Labaika.

Allahuma Aamin.
 
Si mara ya kwanza kusikia kuwa hii ni kafara ya kila mwaka inayoendelea kule.
Kuna mtu aliconvert alinieleza on details hii kitu.
Cha ajabu wahusika wenyewe hawaoni...wanasema msongamano..sijui uzee...sijui magonjwa..

Ukisikia kitu kifanyie kazi ujue ukweli wake..sio kupinga tu kama mwehu....ukweli haupiganiwi....unajipigania wenyewe.

Ukiambiwa ni jambo la kawaida vifo kutoa Meccah haina maana kuna kupinga. Watu zaidi ya millioni 2 ni mkusanyiko mkubwa kuliko mkusanyiko wowote duniani kwa wakati mmoja. Taadhari zinachukuliwa sana tu mojawapo ni kila nchi kupewa idadi ya kupeleka mahujaji la sivyo idadi ingefika hata 5M.


 
Kutokana na msongamano wa watu zaidi ya millioni 2 kutokea vifo ni jambo la kaiwaida sana na kila mwaka vifo vinatokea na ukizingatia kuna wazee wengi wanaenda kuhijji.kutokea vifo Meccah wa wala siyo issue

kweli kabisa na hii ndio sababu ya msingi......nawashangaa hao wanaobisha na kuulizaeti kuna kitu nyuma ya pazia...
 
Ewe Mola nijaalie kuwa miongoni mwa waja wako utakaowajaalia kuitikia wito wa kuitembelea miji mitakatifu ya Makkah na Madina hapo mwakani ili kutekeleza ibada tukufu na nguzo ya tano ya dini yetu nzuri ya Kiislamu.
Na unijaalie kwa kadiri ya kadirio lako kwa uhai wangu kuwa Makkah al Mukkaramah kuwa eneo itakapotoka roho yangu.

Ya Allah nijaalie kuitikia Labbaika Allahuma Labaika.

Allahuma Aamin.

Amyn ya Rabbil alamiyn ila zaid ufe madina mji ulioombea na Mtume Muhammad salla Allahu alyhi wassalm kuwa ni mji uliorehemewa ukifa in shaa Allah ni jannat inakungojea kwa uwezo wa Allah. Na nyie msiokuwa waislam isikushughulishen watu kufa hko kwan mahujan kabla ya kwenda wanaweka nia ya kufa hko wakimaliza kuhijji so kwetu ni furaha sio kafara.
 
Umeongea kwelii lililii kifo kipo nanhakina sababu jaman tusidiss amri ya mungu hakuna anaetambua atakufa lini na saa ngapi kikubwa tuwaombee kheir tu mwenyezmungu ndo amewapangia wakafie huko
 
Ewe Mola nijaalie kuwa miongoni mwa waja wako utakaowajaalia kuitikia wito wa kuitembelea miji mitakatifu ya Makkah na Madina hapo mwakani ili kutekeleza ibada tukufu na nguzo ya tano ya dini yetu nzuri ya Kiislamu.
Na unijaalie kwa kadiri ya kadirio lako kwa uhai wangu kuwa Makkah al Mukkaramah kuwa eneo itakapotoka roho yangu.

Ya Allah nijaalie kuitikia Labbaika Allahuma Labaika.

Allahuma Aamin.

Inshallah....ufe salama.
 
Ni kweli mkuu maaana mtu kutoka mji wako ulipo na kuweka nia ya kwenda makka kuhiji na ukatimiza wajibu wa kwenda unamaanisha kua unaenda kutubu na kuomba msamah kwa mazambi yako yote mwenyezmungu ndo mwenye kujua nia ya mtu na wengi wetu tunaomba toba so unajitolea kufa kwa kuomba msamah
 
Ni kweli mkuu maaana mtu kutoka mji wako ulipo na kuweka nia ya kwenda makka kuhiji na ukatimiza wajibu wa kwenda unamaanisha kua unaenda kutubu na kuomba msamah kwa mazambi yako yote mwenyezmungu ndo mwenye kujua nia ya mtu na wengi wetu tunaomba toba so unajitolea kufa kwa kuomba msamah

Ukiwa na uwezo kuhiji nenda ufaidi kupanua ufahamu wa jiografia.lakini ukiutaka utakatifu waweza kuupata hapo uapoishi.
Zaidi ya hapo hija ni biashara kubwa kwa nchi na baadhi ya makampuni.funguka
 
Back
Top Bottom