Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,465
- Thread starter
- #101
Endelea kuniombea na Roho Mtakatifu akuongoze palipo na weakness Bwana aniponye.
Nami nitakuombea nawe pia maana tumeambiwa tusiache kuombeana hata ije siku ya Kristo Yesu. Ulipokwazika basi unisamehe.
Tunahitaji kumuomba Mungu kuliko tulivyowahi kufanya. Yapo mengi yanafanywa na viongozi wa dini yanalenga ukakasi ktk imani. Naamini hata wewe umeyaona.
Queen Esther
Nami nitakuombea nawe pia maana tumeambiwa tusiache kuombeana hata ije siku ya Kristo Yesu. Ulipokwazika basi unisamehe.
Tunahitaji kumuomba Mungu kuliko tulivyowahi kufanya. Yapo mengi yanafanywa na viongozi wa dini yanalenga ukakasi ktk imani. Naamini hata wewe umeyaona.
Queen Esther
Nimekuwa nafuatilia maandiko yako Queen Esther kwa muda mrefu hasa unapoyaambatanisha na neno la Mungu. Nimeona waraka wako mrefu kwa Josephine ukimtia nguvu kwamba avumilie kwa vile anaonewa na yale ni mapambano ya kiroho.
Sipendi kuingia moja kwa moja kukupinga au kukuunga mkono, lakini niwe wazi tuu kuwa nimepata mashaka na huyo umtumikiaye kuwa ni yupi? Yaani kati ya "Yule ambaye ndiye" au "Yule ambaye ni yeye"