Kiongozi wa Taasisi za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda pamoja na wafuasi wengine waliokamatwa, leo wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka ya madai mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwashawishi baadhi ya Waislam kuvamia eneo la Kiwanja katika eneo la Chang'ombe jijini Dar es Salaam, kuwashawishi Waislamu kutojitokeza katika zoezi la Uandikishaji katika Sensa ya Watu na Makazi.
Watuhumiwa hao wamerudishwa rumande wakisubiri taratibu nyingine.
CHANZO: TBC Habari za Saa 7 mchana
وقف النكات والمتدينين، وأنا هنا أنا أكتب ليس فقط الأكاديمية العربية
duwaaaaaaaaa ya kugeuka reptiliaHoya, hi ndo nini hapo...
Armed robberJamaa anawafanya mjambe jambe kweli!! Hivi mnamuogopa hivi kwanini? Je angekuwa kachinja kasisi mmoja?
Huyu Gaidi amefikishwa Mahakamani leo na bado hajapandishwa kizimbani ila cha kufurahisha huyu leo lazima alale Segerea au keko, hili nimethibitishiwa na PP wa pale Mahakamani, hakuna dhamana kwa magaidi kama hawa.
Source: mimi mwenyewe
tukojolee??
Armed robberyKwan uchunguz umekamilika?
Kova au zuzu?Kova naona anajikanyaga tu,mara armed robbery,mara kavamia kiwanja cha watu hata sijaelewa vizuri mie!