jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,379
- 4,899
Kutoka katika mahojiano yake na gazeti la JAMHURI: "Unaambiwa kiongozi huyu anabaka ofisini, lakini hadi anashitaki fulani amenifanya hivi au vile ili nipate kitu fulani, na kuna vitu vinajulikana vya wazi kabisa". Ikumbukwe hapa inaongelewa CCM.
Hoja:
Kwa nini UWT isilivalie njuga hizi taarifa maana Membe kaweka wazi kabisa as a matter of fact. Kwa nini Isifahamike kiongozi huyo anayebaka ofisini ni nani ili kama Membe anadanganya achukuliwe hatua kwa kudhalilisha CCM?
Bila hivyo hizi taarifa zisipopingwa zitafanya kuwe na mashaka juu ya wanawake viongozi wa CCM hasa viongozi wa kuteuliwa kuwa inawezekana ni wahanga wa ubakaji. Zingatieni kuwa kiongozi mkuu wa sasa ni mwanamke. Ukimya wa wanawake hasa UWT sio mzuri katika hili.
Hoja:
Kwa nini UWT isilivalie njuga hizi taarifa maana Membe kaweka wazi kabisa as a matter of fact. Kwa nini Isifahamike kiongozi huyo anayebaka ofisini ni nani ili kama Membe anadanganya achukuliwe hatua kwa kudhalilisha CCM?
Bila hivyo hizi taarifa zisipopingwa zitafanya kuwe na mashaka juu ya wanawake viongozi wa CCM hasa viongozi wa kuteuliwa kuwa inawezekana ni wahanga wa ubakaji. Zingatieni kuwa kiongozi mkuu wa sasa ni mwanamke. Ukimya wa wanawake hasa UWT sio mzuri katika hili.