Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,828
kabisa, na zaidi ya chadema wote na nyumbu waohuyu kichwa kimoja tu ni sawa na mawaziri wote wa masifuri!
mhasisi wa chadema alikimbia nchi kwa hoja!
kabisa, na zaidi ya chadema wote na nyumbu waohuyu kichwa kimoja tu ni sawa na mawaziri wote wa masifuri!
Angekuwa kama Nyerere, leo Mwigulu asingekuwa ofisini. JPM hamfikii Nyerere hata robo.Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia sio Kama Nyerere!
Kwa vile Nyerere alitawala kwa Zaidi ya miaka 20, tumependekeza Magufuli nae apewe miaka 20, atakuwa copy right na Nyerere.
Tumpe Rais Magufuli miaka mingapi?
Hata mimi pia nilisema
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
p
Hahaa ..Mbowe!.......... hahahaa kwa kukaa muda mrefu kama mwenyekiti wa chama!
Hahaaa ile risasi ilipigwa kwa fizikia mpya.Ilipinda kama risasi iliyomuua Aquiline.
Nani kasema JPM, amemfikia Nyerere?. JPM huu ndio kwanza ni mwaka wake wa tatu tuu, bado ana miaka mingine 23 ndipo amfikie Nyerere tumpe miaka mingine 20, ili itimie 23 ndipo tumpime kwa haki!.Angekuwa kama Nyerere, leo Mwigulu asingekuwa ofisini. JPM hamfikii Nyerere hata robo.
Simnasema Magufuri ni nyerere wa piliKiongozi ambaye huwezi kujizuia kujivunia!
We jamaa bwana, wenzio Iyo miaka saba iliyobakia kwa uongozi wa huyu mvunja democrasia na umoja wa kitaifa, tunaona kama imebakia karne mojaNani kasema JPM, amemfikia Nyerere?. JPM huu ndio mwaka wake wa tatu tuu, bado ana miaka mingine 23 ndipo amfikie Nyerere tumpe miaka mingine 20, ili itimie 23 ndipo tumpime kwa haki!.
P
CCM wanakera sana kumlinganisha Nyerere na mkolomije..sasa mlinganishe Mwalimu Nyerere uwezo wake wa kujieleza na Mzee wa "kolapsheni iz kensa."
..wako watu tukiwaambia Mzee viatu vimempwaya wanabisha.
Kwa lipi?Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia sio Kama Nyerere!
Kwa vile Nyerere alitawala kwa Zaidi ya miaka 20, tumependekeza Magufuli nae apewe miaka 20, atakuwa copy right na Nyerere.
Tumpe Rais Magufuli miaka mingapi?
Hata mimi pia nilisema
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
p
Yeah nataka nimpe tigoUmempenda? Unataka kumpa tigo?
Si unajua kazoea kutoa tigo huyuNyani Tafadhali mada mzuri unataka makamanda waanze kutoa michango ya hovyo. Tumia lugha mzuri
Hahaa. Ni watu wa kaliba mbili tofauti.Nani kasema JPM, amemfikia Nyerere?. JPM huu ndio mwaka wake wa tatu tuu, bado ana miaka mingine 23 ndipo amfikie Nyerere tumpe miaka mingine 20, ili itimie 23 ndipo tumpime kwa haki!.
P
Ila hata mbuyu, ulianza kama mchicha.Hahaa. Ni watu wa kaliba mbili tofauti.
Hata umpe mingine 20, ni sawa na kupalilia mchicha uje kukua kama mbuyu.
Ungefungua link, ukaona kwa lipi!.Kwa lipi?
Mkuu Mwanza Nzuri, wape pole!. Tumeamua tumpe miaka 20, na akimaliza, Makonda ndie ampokee.We jamaa bwana, wenzio Iyo miaka saba iliyobakia kwa uongozi wa huyu mvunja democrasia na umoja wa kitaifa, tunaona kama imebakia karne moja
Mungu ashafanya yake huko... HahaaMkuu Mwanza Nzuri, wape pole!. Tumeamua tumpe miaka 20, na akimaliza, Makonda ndie ampokee.
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
Na akiingia dogo, wale wanaomuona Magu kama ...fulani, watamuona kumbe Magufuli alikuwa malaika!.
P