Mahojiano ya Julius Nyerere 1976 & 1977

Mahojiano ya Julius Nyerere 1976 & 1977

Mwandishi:..is there a point at which you would say, hey this is not working we ought to try something else?

Nyerere:...what else?....there is nothing else.
 
Ila ikumbukwe pia kuna nyakati Nyerere hakupendwa kivile hususan enzi za mikingamo na maduka ya ugawaji!

Maisha yalikuwa magumu mno.
 
Huyu Mzee itaicitaichukua miaka mingi sana dunia kupata mtu kama huyu. Labda mwanangu
 
Nyani tutawezaje kupata kama huyu tena?!
Mimi mpaka sasa ninaamini hakuna kiongozi iwe serikalini au ktk vyama vya siasa ambae anamfikia kifikra, na kiupeo hata kwa robo (25%) tu.
Kama yupo nitajie...
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia sio Kama Nyerere!

Kwa vile Nyerere alitawala kwa Zaidi ya miaka 20, tumependekeza Magufuli nae apewe miaka 20, atakuwa copy right na Nyerere.
Tumpe Rais Magufuli miaka mingapi?

Hata mimi pia nilisema
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
p
 
Alikuwa wa kipekee! Kuongoza nchi iliojaa MAZWAZWA kwa miaka 23 na wala hakuwaza kutupiga na kukombeleza! RIP Mwl
 
Alikuwa wa kipekee! Kuongoza nchi iliojaa MAZWAZWA kwa miaka 23 na wala hakuwaza kutupiga na kukombeleza! RIP Mwl
Nyerere angekuwa na tamaa ya mali....angejimilikisha nusu ya Tanzania yote....
Mie ambacho kinanifanya nimuone ni wapekee....pamoja na madaraka na influence kubwa aliokua nayo....hakuwa anatisha...yaani watu walikua wanatamani na wanapenda kumsikiliza, hakua mbabe....hakuogofya alikua ni kama baba kweli,mlezi.
Miaka hii watu wanataka waogopwe kama Miungu watu.....watu wanaogopa hiyo mikutano na watawala wa sasa manake hawatabiliki....akighafirika hapohapo anaweza kukufuta kazi..au ukimkwaza sana ukashupaa nissani nyeupe haikuachi....
Nyerere was a philosopher....
 
Nyerere angekuwa na tamaa ya mali....angejimilikisha nusu ya Tanzania yote....
Mie ambacho kinanifanya nimuone ni wapekee....pamoja na madaraka na influence kubwa aliokua nayo....hakuwa anatisha...yaani watu walikua wanatamani na wanapenda kumsikiliza, hakua mbabe....hakuogofya alikua ni kama baba kweli,mlezi.
Miaka hii watu wanataka waogopwe kama Miungu watu.....watu wanaogopa hiyo mikutano na watawala wa sasa manake hawatabiliki....akighafirika hapohapo anaweza kukufuta kazi..au ukimkwaza sana ukashupaa nissani nyeupe haikuachi....
Nyerere was a philosopher....
Alikuwa na pepo wa Umasikini ndio maana tukawa masikini angalia nchi zote zinazotawaliwa na Viongozi wanaosema hawataki mali nazo ni masikini na kinyume chake
 
Alikuwa na pepo wa Umasikini ndio maana tukawa masikini angalia nchi zote zinazotawaliwa na Viongozi wanaosema hawataki mali nazo ni masikini na kinyume chake
Kweli. Ndio maana Congo ni tajiri sana.
 
Nyani tutawezaje kupata kama huyu tena?!

Mimi mpaka sasa ninaamini hakuna kiongozi iwe serikalini au ktk vyama vya siasa ambae anamfikia kifikra, na kiupeo hata kwa robo (25%) tu.

Kama yupo nitajie...
Mbowe!.......... hahahaa kwa kukaa muda mrefu kama mwenyekiti wa chama!
 
..sasa mlinganishe Mwalimu Nyerere uwezo wake wa kujieleza na Mzee wa "kolapsheni iz kensa."

..wako watu tukiwaambia Mzee viatu vimempwaya wanabisha.
Chagueni serikali ya CCM itakayowafanyizia.....Le Mutuzz haaaa has,le kokobanga Bomayeeee,cintweyeeen ndo think tank wa Bashite aka Maliya Mungu wa Tanzania ya Masifuri.
 
Baba Nyerere umetuachia madubwasha gani haya hapo Lumumba?!...

Kuna mtu anasema huku hapangiwi. Ananyoosha nchi. Nchi yetu ilipinda kuelekea sijui magomeni au kwa mtogole..
Dah..
Ilipinda kama risasi iliyomuua Aquiline.
 
Back
Top Bottom