Butiku: CHADEMA wanafadhiliwa wala sio siri

Butiku: CHADEMA wanafadhiliwa wala sio siri

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
39,118
Reaction score
31,626
Mkurugenzi Mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku,

Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?

 
Huyo mzee aulizwe ile miradi kwa hisani ya watu wa Marekani inapitia cdm? Ama hajui anaongea nini? Aweke ushahidi ni kiasi gani hao cdm wamepewa na Marekani, na serekali imepokea kiasi gani toka kwa wamerakani ili tupime asemacho. Bado huyo mzee yeye na Wasira wanafanya siasa outdated mno.
 
Mkurugenzi Mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku,

Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?

Hii mizee ya hovyo. Mtu mzima hovyo. Kwani, hili nalo halifadhiliwi kwa siri na samuya nymbaff kabisa.
 
Mkurugenzi Mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku,

Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?

Na nani? Kaa kiasi gani? Anaweza ku prove anayosema au ni siasa?
 
Hii mizee ya hovyo. Mtu mzima hovyo. Kwani, hili nalo halifadhiliwi kwa siri na samuya nymbaff kabisa.
Wazee wa tanzania watia hasira , ni wachache sana wenye maarifa. Ccm ime brainwash wazee wengi mno wamekuwa nothing but kusanyiko la wajinga, despite ya usomi wao angalia wanacho ongea, its so sad sad sad
 
Mkurugenzi Mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku,

Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?

 

Attachments

  • 1000024076.jpg
    1000024076.jpg
    45.1 KB · Views: 1
Je msajiri wa vyama hajui kama CDM inafadhiriwa?
Kama anajua kwa Nini aissfute?
Je CCm gaifashuruwi na vyama rafiki mfano kutoka china?
Yule Balozi wa china hakuwahi kupigwa picha akiwa na akina Kinana? Tena akiwa amevalishwa na kofia ya CCM?
Wakati wa campaign za uchaguzi 2010 CDM ilipomsimamisha DK Slaa kama mgombea Urais?
Je Balozi anaruhusiwa kushiriki kampeni za uchaguzi akikiunga chama kimojawapo ?
Butiku na Wasira ni Wazee wasiostahili heshima yoyote katika nchi hii.
 
Mkurugenzi Mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku,

Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?

Huyu mzee ni snitch kuweni nae makini
Hana tofauti sna na ZITO KABWE.

Never trust this man , he is a coward na ndio aliemuuza pole pole

Mzee wa kuaminiwa kwa sasa ni warrioba tu

Huyu mzee batiku ni snitch na anatumika sana na mbwa wa kijana
Ni mzee over 60 but muoga wa maisha

Ni Mzee wa hovyo zitto type ukikaa vibaya anakuunguza kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom