funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,118
- 31,626
Mkurugenzi Mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku,
Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?
Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?