Mahojiano ya Julius Nyerere 1976 & 1977

Mahojiano ya Julius Nyerere 1976 & 1977

Kiongozi ambaye huwezi kujizuia kujivunia!
Nyani tutawezaje kupata kama huyu tena?!

Mimi mpaka sasa ninaamini hakuna kiongozi iwe serikalini au ktk vyama vya siasa ambae anamfikia kifikra, na kiupeo hata kwa robo (25%) tu.

Kama yupo nitajie...
 
Hawawezi kumfikia labda awamu zote 5
Baba Nyerere umetuachia madubwasha gani haya hapo Lumumba?!...

Kuna mtu anasema huku hapangiwi. Ananyoosha nchi. Nchi yetu ilipinda kuelekea sijui magomeni au kwa mtogole..
Dah..
 
Back
Top Bottom