Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,322
- 7,160
Ndo tabia yako nini Mkuu kujinyea ukiwa ndotoni?Uko ndotoni, amka utajinyea.
Mpe kura yako JPM kwa maendeleo ya Tanzania.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Ndo tabia yako nini Mkuu kujinyea ukiwa ndotoni?Uko ndotoni, amka utajinyea.
Huu upuuzi hawez kuukubali mtu aliyekufa na kufufuka utakua humjui?Nan angethubutu kurudi kwa mirisas yote ileMshaurini ndugu yenu kuna maisha baada ya uchaguzi,asisahau hilo.
Akumbuke kuanzia tar 29 oct hatotakiwa kusikika mtu akisema fye fye fye
na asisahau alipotoka na muhimu akumbuke ana familia na tayari kashaingia Nchini.
Huyo si attention seeker, werevu tunachukulia alitaka "kuuzia" sura tuu.
October 28 kura zote kwa JPM.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Uswis hata hawaongei kingereza, acha kuwa zuzu
Sisi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule ambaye haishi Tanzania atachaguliwa na robert
Tangu 2015 Tanzania inaongozwa na Mrundi na CCM mnashangilia.Uswis hata hawaongei kingereza, acha kuwa zuzu
Very organised, well oriented and visioned speech.
Tangu 2015 Tanzania inaongozwa na Mrundi na CCM mnashangilia.
Ndio kweli unahisi wewe unaakili na Lissu ni kichaa?Huyu milembe walikosea sana kumruhusu aondoke maana nikiangalia kwa mbali bado naona kuna shida kwenye akili yake.
Eti anasema watanzania maelfu kwa maelfu wanahudhuria mikutano yake hivyo anaamini kuwa wote wanao kuja kwenye mikutano yake lazima wampigie kura,huyu mtu ni wa kupimwa akili,maelfu kwa maelfu wakati wapiga kura wako mamilioni kwa mamilioni,sasa hao maelfu wanatosha kumpa ushindi dhidi ya mamilioni wa CCM? Jibu ni hapana
Huyu mtu kwa waliokaribu yake wanapaswa wamuambie kuwa si kila anayeenda kwenye mikutano yake ni mfuasi wake wengine wanakuja kuangalia mashavu yake yalivyonenepeana,mimi binafsi nimehudhuria mikutano ya Lissu zaidi ya Mara nne lakini mimi si mfuasi wake na nilitumia nauli kubwa kuhufutilia mikutano yake katika mikoa mitatu lakini hata kama jua litabadili uelekeo Leo siwezi mpa kura yangu lissu
Aache kupotosha huyu bwana,waliomtuma awaambie watanzania wamemshitukia.
Kipenzi cha watanzania au watu wasiojulikana?
Huyu mbeligiji ni mpuuzi sana
Wewe ni mpuuzi mmoja tu kama walivyo wapuuzi wa aina yako. Mnajaza server za JF bure na hii mipasho ya kipumbavu.Mshaurini ndugu yenu kuna maisha baada ya uchaguzi,asisahau hilo.
Akumbuke kuanzia tar 29 oct hatotakiwa kusikika mtu akisema fye fye fye
na asisahau alipotoka na muhimu akumbuke ana familia na tayari kashaingia Nchini.
Huyu milembe walikosea sana kumruhusu aondoke maana nikiangalia kwa mbali bado naona kuna shida kwenye akili yake.
Eti anasema watanzania maelfu kwa maelfu wanahudhuria mikutano yake hivyo anaamini kuwa wote wanao kuja kwenye mikutano yake lazima wampigie kura,huyu mtu ni wa kupimwa akili,maelfu kwa maelfu wakati wapiga kura wako mamilioni kwa mamilioni,sasa hao maelfu wanatosha kumpa ushindi dhidi ya mamilioni wa CCM? Jibu ni hapana
Huyu mtu kwa waliokaribu yake wanapaswa wamuambie kuwa si kila anayeenda kwenye mikutano yake ni mfuasi wake wengine wanakuja kuangalia mashavu yake yalivyonenepeana,mimi binafsi nimehudhuria mikutano ya Lissu zaidi ya Mara nne lakini mimi si mfuasi wake na nilitumia nauli kubwa kuhufutilia mikutano yake katika mikoa mitatu lakini hata kama jua litabadili uelekeo Leo siwezi mpa kura yangu lissu
Aache kupotosha huyu bwana,waliomtuma awaambie watanzania wamemshitukia.
Wahutu wametuharibia sana nchi yetuNi kweli mkuu,warudi kwao Burundi
Huu upuuzi hawez kuukubali mtu aliyekufa na kufufuka utakua humjui?Nan angethubutu kurudi kwa mirisas yote ile
Wewe na wote wa jinsi yako ni mataahira kabisaaaaaHuyu mbeligiji ni mpuuzi sana
Kumbe shida yake ni kiingereza!Uswis hata hawaongei kingereza, acha kuwa zuzu