Uchaguzi 2020 MAHOJIANO: Tundu Lissu na VOA ya kusimamishwa kampeni na NEC, anakubaliana na Magufuli kuhusu COVID19

Uswis hata hawaongei kingereza, acha kuwa zuzu
Wanaongea kiswahili? English is quite widely spoken acrossSwitzerland as a whole, with around two thirds of the total population estimated to be able tospeak some English. ... Switzerland actually has four official languages – German, French, Italian and Romansh.😳😳✌✌✌
 
Mbona unaandika ujinga au nawewe ni mzee wa jinsia?
Wanaongea kiswahili? English is quite widely spoken acrossSwitzerland as a whole, with around two thirds of the total population estimated to be able tospeak some English. ... Switzerland actually has four official languages – German, French, Italian and Romansh.
 
Watanzania tuwe makini tuache kusikiliza wagombea wenye uraia wa Nchi mbili
Je, waweze thibitisha mgombea mwenye uraia wa Nchi mbili? Acha kuwa zuzu tunahitaji ushindani sawa, mchanganyiko bungeni, hivi unafikiri wote bungeni wawe CCM kutakuwa na usimamizi wa kweli na makini kwa serikali? Je, hawata pitisha sheria kandamizi, na nani hataihoji serikali 'seriously' mjifikirie kwanza nyie wenyewe na vizazi vyenu!
 
Hata jambazi hunusurika kufa,
Huyu jamaa kajaa roho ya uasi ni wakumuepuka kama ukoma katika nchi.
Lisu anawafanya maccm, mapolisi, tume na wadhalimu wote wajue hawajui chochote. Ni spana mdomoni, spana zaidi katika matendo. Spana! Spana! Spana. Leo katupa msamiati mpya pale Kiluvya. Amemaliza hotuba kwa kusema "It's late, but it's okey. Tuko tayari kuingia magogoni.
 
Si kila anayempinga huyu bwana wenu aliyenenepeana mashavu ni analipwa buku saba,hapana wengine kama sisi ni wazalendo tunapigania nchi, na hatuko tayari kuona nchi yetu inakuwa koloni jipya la wabeligiji kwa kumkabidhi mbeligiji lissu
Sio wote mkuu mnalipwa bk 7,ila wengi wenu mnafaidika na utawala huu.
Either we ni mmoja wapo kati ya wale walionufaika na ule uchaguzi Wa serkali za mitaa,ulipita bila kupingwa.so no lazima utetee chama chako ccm.
 
Sio wote mkuu mnalipwa bk 7,ila wengi wenu mnafaidika na utawala huu.
Either we ni mmoja wapo kati ya wale walionufaika na ule uchaguzi Wa serkali za mitaa,ulipita bila kupingwa.so no lazima utetee chama chako ccm.
Mimi ni mzalendo haitatokea kamwe nchi hii kuweka mikononi mwa kibaraka wa wazungu,lissu anatembeza homa juani ,hakuna atakachoambulia
 

Mshaurini ndugu yenu kuna maisha baada ya uchaguzi,asisahau hilo.

Akumbuke kuanzia tar 29 oct hatotakiwa kusikika mtu akisema fye fye fye

na asisahau alipotoka na muhimu akumbuke ana familia na tayari kashaingia Nchini.
Atakwenda ubelgiji...atakuwa akiendesha siasa akitokea nje Kama vibaraka wengi wamekuwa wakifanya...ataendelea kuichafua Tanzania Akiwa nje...upo uwezekano ataunda jeshi atakaloita la ukombozi likitokeaa nchi jirani
 
Back
Top Bottom