By the way mimi nimeongea na Kija Yunus..producer wa icho kipindi.. nasikia yeye ndo alomleta Mh Kafulila, lakini hakuwa amteoa taarifa kwa program manager wa cloudtstv.. afu yule program manager akapost kwenye group la clouds kuhoji kwanini wagen kabla ya kuja taarifa hazitolewi sikuiz... nasikia Ruge akamind..akauliza kama form za wageni wa siku iyo yupo Kafulila akaambiwa hajaandikwa.
Akapiga simu kwa Kija Yunus...nasikia akamchana sana.. ila kija akamwambia alimpigia sim program manager na ruge wote hawakupokea jana yake. Kilichotokea ile crew ya 360 ikapanick..kija akmfuata kafulila wakaingia ofisn kwa program manager alivyotoka akaondoka. Kija anasema yeye ndo analetaga wageni. Issue ya kafulila kusema maelekezo ya juu ni ruge uyo...ila nasikia Ruge alivyofika ofisin akamwambia kija kuwa hakusema kafulila asifanye interview ila alikasirika taratibu hazikufuatwa.
Kafulila aliambiwa kesho alhamis aje kwenye show waaihirishe ya leo akasema anasafiri.
Hiyo ndo story ilivyokuwa.
By the way mimi nimeongea na Kija Yunus..producer wa icho kipindi.. nasikia yeye ndo alomleta Mh Kafulila, lakini hakuwa amteoa taarifa kwa program manager wa cloudtstv.. afu yule program manager akapost kwenye group la clouds kuhoji kwanini wagen kabla ya kuja taarifa hazitolewi sikuiz... nasikia Ruge akamind..akauliza kama form za wageni wa siku iyo yupo Kafulila akaambiwa hajaandikwa.
Akapiga simu kwa Kija Yunus...nasikia akamchana sana.. ila kija akamwambia alimpigia sim program manager na ruge wote hawakupokea jana yake. Kilichotokea ile crew ya 360 ikapanick..kija akmfuata kafulila wakaingia ofisn kwa program manager alivyotoka akaondoka. Kija anasema yeye ndo analetaga wageni. Issue ya kafulila kusema maelekezo ya juu ni ruge uyo...ila nasikia Ruge alivyofika ofisin akamwambia kija kuwa hakusema kafulila asifanye interview ila alikasirika taratibu hazikufuatwa.
Kafulila aliambiwa kesho alhamis aje kwenye show waaihirishe ya leo akasema anasafiri.
Hiyo ndo story ilivyokuwa.
mwaka huu zile buku saba saba wanaazopewa pale lumumba zitaisha kwa style hii hii ya kuja kunyoosha maelezo pind mabosi wao wakiharibuMtakurupuka sana kutoka mafichoni msimu huu , sasa ndio umeandika nini ?
haya kaiteni mashoga muwahoji tena..Si aende kuhojiwa efm kwani lazima clouds