Kiki gani hapo anayotafuta,kueleza kua mahojiano yake yamefutwa au,jaribu kutoa ufafanuzi kidogo,sijakuelewa.Kafulila ana tafuta kiki tuu
mkulu hajawahi kulipua bomu lolote la ufisadi tangu akiwa mbunge wa kawaida mpaka kawa waziriHalafu eti mnabana pua kwamba mkulu anapambana na ufisadi. Kipi kinafanya muogope wasemakweli ili hiyo mahakama ya mafisadi ipate urahisi wa kujua wezi?
Mtaogopa mpaka vivuli vyenu. Mtaishi kwenye uongo na hofu mpaka lini?Kafulila ana tafuta kiki tuu
[emoji1]Unatakiwa unaenda kuwasifu
Kwani Kafulila ana wadhifa gani kisiasa?
Mzee Lowasa alisema huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono, kilichomkuta anajua Regina.naona hata clouds radio walikuwa wanahoji wanasiasa akina mtatiro,hashim rungwe.....ghafla.vikasitishwa
ninachoona mimi,huwezi kuzuia mwanga wa jua kwa kutumia ungo au sinia
Ha ha ha haaaa yaani katumbili kanaogopesha mpaka white huse? Shame on you guys!!Kafulila ana tafuta kiki tuu