Mahojiano na Kafulila yafutwa Clouds TV

Mahojiano na Kafulila yafutwa Clouds TV

Kafulila ni kombora la nyukria lazima aogopwe ndo maana jana clouds TV walichemka kukabiliana nalo hilo kombora maana lingelipua hiyo studio isipate Kiki na uteule
 
popote patakapokuwa na uchaguzi mdogo wamuweke huyo dogo, iwe kusini, kaskazini, mashariki au magharibi.
 
Wamemkatali sana Kafulila, hawana huruma hawa clouds! Hivi hawajui kuwa mwenzao haonekani mjengoni Dodoma hivyo akiongea na media kama hivyo inamsaidia na yeye kuonekana kwa wananchi! wamemkatili sana Kafulila sasa aende wapi ili angalau na yeye uwepo wake ujulikane
 
Umeona ee.
Tumbili si mchezo ohooo
Chezea tumbili wewe!
Kama mpaka John Pombe Magufuli anamwogopa Kafulila basi hatuna Rais!
Inakuwaje Rais anawaogopa raia wake? Watu walikuwa wakisema JK ni dhaifu, basi huyu Magufuli ni dhaifu mara alfu lela!
 
Nashindwa kuelewa kama kweli mtu unatenda yote kwa haki...hofu ya nini_hata kama ni kukosea kuwe ni ndani ya haki.
Nafikiri kuna madhambi mengi ndio maana wanaogopa hawa watu wa juu.

Igweeee!
Kama mtu hutendi HAKI basi unatenda DHULUMATI! Kawaida mwanadamu anapotenda dhuluma au kosa lolote anakuwa na ile hali tunaita,"GUILTY CONSCIOUSNESS". Hii inatokea automatically wala huwezi kujizuia maana ni maumbile kulingana na uumbaji!
Serikali ya JPM ndipo ilipofikia ndani ya mwaka tu!!!
Makosa ya wazi ya kudhulumu raia,kukurupuka,mipango isiyotekelezeka, kudorora kwa uchumi,kushindwa kununua madawa muhimu,kushindwa kulipia mikopo ya wanafunzi,ukosefu wa ajira,kushindwa kusimamia majanga ya tetemeko la ardhi na njaa huko Kagera, Kuwekwa ndani kwa mwandishi wa ITV baada ya kuripoti tukio la njaa, kuzuiliwa kwa Kafulila kuhojiwa Clouds TV, na kadhalika na kadhalika!
Hii ni aibu! Kama hali ni hii ndani ya mwaka 1 tu, je!hali itakuwaje ndani ya mwaka 4 ijayo!
 
Sasa kama alialikwa ikawaje tena akasitishiwa mazungumzo wakati kashafika studio?
Hilo ndio swali na ndio kiini cha hu mjadara! Hujajiuliza kwanini anatajwa hadi na mtu aliyempa mwaliko Kafulila na pia jina la mtu aliyebatilisha Kafulila kuingia au kwenda hewani; soma tu ukiwa na fikra huru utaelewa, wa kulaumiwa sio Kafulila bali uongozi wa tv
 
Hii serikali inaogopa hata kivuli chake.Atukuchagua Tembo atuongoze tulichagua raisi by Butiku

It is crystal clear kuwa ina cha kuficha au dhamira ovu. Angalia tu hiyo sheria ya haki ya habari, cyber crime, sheria ya statistics etc
 
Hilo ndio swali na ndio kiini cha hu mjadara! Hujajiuliza kwanini anatajwa hadi na mtu aliyempa mwaliko Kafulila na pia jina la mtu aliyebatilisha Kafulila kuingia au kwenda hewani; soma tu ukiwa na fikra huru utaelewa, wa kulaumiwa sio Kafulila bali uongozi wa tv
Hukunielewa tu Ndugu, hata mi nashangazwa na kituo cha TV, ndio maana katika post ya mwanzo nimekejeri kituo cha tv
 
Back
Top Bottom