kilaza mjanja
JF-Expert Member
- Jun 2, 2016
- 654
- 1,144
Magufuli ni mmoja wa wanufaika wa ESCROW na wenzake wakina pro muhongo,, ameogopa kuvuliwa nguo,,, pia clouds ni share holder wa kikwete
mkulu anakakimbiza katumbili atakawezea wapi? kako tawi hili,kako tawi lile,kako chiniHa ha ha haaaa yaani katumbili kanaogopesha mpaka white huse? Shame on you guys!!
Dereva wa sadam husein wa libya na gadafi wa kuwait.Ngoja tutaona Gari bovu chini ya dereva mwenye sifa ya Tembo kama tutafika..
Wewe hujui kama mkuu wa kayo ndo hua anaangalia hicho kipindi asubuhi asubuhi, na mpaka simu hupiga? Ndo sehem sahihi hasa aliyochagua kuliko sehemu yoyote, maana na mkuu wanchi angeona na kusikia hapo ambaye ndo mlengwa mkuuKafulila nae, hivi kweli uwe na jambo la maana kuongea uende clouds TV? hiki kituko. Haya pole yako
Unajua nimeshangaa sana? Yaani mtu mzima unakaogopa ka-Tumbili tu mpaka unatoa maagizo kama huna kichwa?mkulu anakakimbiza katumbili atakawezea wapi? kako tawi hili,kako tawi lile,kako chini
Ndo tunashangaa kwann wafute? Kwani ni dhambi kumuhoji raia wa kawaida kuhusu mambo ya nchi yake? Woga wa nn jamani?Kwani Kafulila ana wadhifa gani kisiasa?
Wala sioni cha ajabu hapo,Anaandika Davidi Kafulila
Kipindi clouds360 nilichoalikwa leo kuanzia sambili unusu asubuhi kwajili ya kujadili masuala yanayoendelea nchini kama nilivokuwa nimewajulisha jana ambacho kilikuwa kikitangazwa tangu jana kimefutwa nikiwa studio tayari kwa maelekezo toka juu! P
Poleni mliokuwa mkisubiri kunifuatilia!
David Kafulila
Wamemrudishia gharama zake?Anaandika Davidi Kafulila
Kipindi clouds360 nilichoalikwa leo kuanzia sambili unusu asubuhi kwajili ya kujadili masuala yanayoendelea nchini kama nilivokuwa nimewajulisha jana ambacho kilikuwa kikitangazwa tangu jana kimefutwa nikiwa studio tayari kwa maelekezo toka juu! P
Poleni mliokuwa mkisubiri kunifuatilia!
David Kafulila
Na wewe una wadhifa gani kutuandikia unachoandika hapa?Kwani Kafulila ana wadhifa gani kisiasa?
hakika,miaka 50Tumerudi miaka 50 nyuma --Gen Ulimwengu
Umetisha mkuu[emoji3]Wewe hujui kama mkuu wa kayo ndo hua anaangalia hicho kipindi asubuhi asubuhi, na mpaka simu hupiga? Ndo sehem sahihi hasa aliyochagua kuliko sehemu yoyote, maana na mkuu wanchi angeona na kusikia hapo ambaye ndo mlengwa mkuu
Niombeeni kwa naniiiNashindwa kuelewa kama kweli mtu unatenda yote kwa haki...hofu ya nini_hata kama ni kukosea kuwe ni ndani ya haki.
Nafikiri kuna madhambi mengi ndio maana wanaogopa hawa watu wa juu.