Nazifuata mwenyewe popote zilipo bei ofa yangu 150tsh per kg kama ukiwa nazo nicheke kwa namba hizi +255625767400Ndugu jifunze kuweka tangazo lako vizuri ungesema upo Mkoa gani, bei ya manunuzi unanunua kwa bei gani, unazifuata mwenyewe au unataka uletewe na suala la usafirishaji linakuaje, ungeweka mawasiliano na vingine vitakavyoweza kutoa picha kamili ya kile unachokihitaji. Ingekusaidia sana.
Kila la heri...!
Kilo moja ya njegere unanunua kwa shilingi mia Moja na hamsini...?Nazifuata mwenyewe popote zilipo bei ofa yangu 150tsh per kg kama ukiwa nazo nicheke kwa namba hizi +255625767400
Mshirikina huyoKilo moja ya njegere unanunua kwa shilingi mia Moja na hamsini...?
Leta offer yako per toneHabari wadau bila kuwachosha. Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza kwa ufasaha zaidi mwenye bidhaa hiyo au pengine anafahamu inakopatikana kwa wingi tupeana connection.
Hiyo mbolea na gharama zangu plus muda wa kukausha mbona napata grand loss? Bora niwauzie Wachina wangu wa siku zote 1800 per kgNazifuata mwenyewe popote zilipo bei ofa yangu 150tsh per kg kama ukiwa nazo nicheke kwa namba hizi +255625767400
Jinga hiloKilo moja ya njegere unanunua kwa shilingi mia Moja na hamsini...?
Utakesha150tsh per kg
Hata haya huna kilo moja ununue shilingi mia hamsini unaota weweNdio
anaumwa huyu!Hata haya huna kilo moja ununue shilingi mia hamsini unaota wewe
Nazifuata mwenyewe popote zilipo bei ofa yangu 150tsh per kg kama ukiwa nazo nicheke kwa namba hizi +255625767400
Kilo moja ya njegere unanunua kwa shilingi mia Moja na hamsini...?