Mahawara hawaachani eti...

Kama umeshabeba mpenzi wa mtu jipange muda wa kumissiana ukifika.
 
Mtani mimi mwenzenu huwa nipo hivi, kama mleta mada akiwa hana uelewa wa kile alichokiandika mara nyingi huwa siwezi kujadili huo mijadala.Kuna utofauti mkubwa wa msamiati "Hawara" na "Mpenzi wa Zamani":::Mpenzi wa Zamani = Huyu huwa ni mwanaume au mwanamke ambaye alikuwa kwenye mahusiano na mtu lakini kwa sasa uhusiano huo unakuwa umevunjwa au kuvunjika.Hawara = Huyu pia huwa ni mwanaume au mwanamke mwenye kuwekwa kinyumba au kufanywa suria na mtu aliye ndoani au kwenye mahusiano ya kimapenzi.Kwa mantiki hiyo lazima tuwekane sawa kwanza kabla ya kuendelea na mjadala...
 
ha haaa, kweli kabisa mtani.....
ngoja TheDealer aje atuambie alikuwa anamaanisha nini then tuendelee na mjadala
 
Last edited by a moderator:
Fp, naunga mkono hoja ya kukachukia haka ka sentensi, sijui anatuambia nn kuhusu ndoa zetu au waume zetu, kuwa wale wanawake zao ambao walikuwa nao kabla yetu bado wanaendelea nao??? au:shock::shock::shock:?????
 
Kuna mwanamke (alikuwa girlfriend wangu) niliachana nae baada ya mi kusafiri kwa muda mrefu,hata kuachana kwenyewe ilikuwa ni kwa kupoteza mawasiliano. Huwezi amini zaidi ya miaka mitano imepita lakini tukionana (nikienda mkoani) hana khiana na mimi kabisa,najishikia mkono tu na kumuelekeza kibla. Mbaya zaidi amekuwa demu wa ndugu wa rafiki yangu.
 

hata kwangu hakijaahi kuwa na ukweliiiii
 
Fp, naunga mkono hoja ya kukachukia haka ka sentensi, sijui anatuambia nn kuhusu ndoa zetu au waume zetu, kuwa wale wanawake zao ambao walikuwa nao kabla yetu bado wanaendelea nao??? au:shock::shock::shock:?????
teh teh tehhhhhh, Lisa my dear.... mimi huwa sipendi kabisa kuusemea upande wapili, lol!
ila najisemea mimi mwenyewe haijawahi kunitokea..... umenielewa?
 
Hehehe best, wanasema mtalaka hatongozwi. Na kupasha kiporo haihitaji moto mwingi )pata picha cha maharage lol)
kiukweli kabisa haka kasentensi sikapendi hata kidogo.....
kila nikikasoma kananitia hasira
 
at right time and place,they can recall!

....duuu oya una maanisha kuwa wanaweza kufanya mapenzi tena? plz sema waziwazi
Ukiamini kila unachokisikia utaamini mengi ya uzushi..
.....ni kweli sio vema kuamini kila kitu lakini sema wewe mtazamo wako, kuna kaukweli kwenye hii mada?

Hawaachani hadi mmoja afe!!!!!!

.....heee kweli???? plz elezea kidogo basi!
Ndugu mleta mada,maneno mahawara na X's yana uhusiano upi?

...hapa ishu kubwa ni mahawara kuachana ama kutoachana, Xs haina ishu sana! jikite kwenye issue kubwa!
Napita.... Sirudi ng'o!!!

....vp inakuhusu nini??
Inategemea na mazingira ya siku za mwisho za uhusiano wao.
......nataka kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani, ila unazungumzia mazingira yapi?

kiukweli kabisa haka kasentensi sikapendi hata kidogo.....
kila nikikasoma kananitia hasira
........pole sana, but jitahidi kuwa mvumlivu pale mambo yanavyoenda ndivyo unavyotaka, pole! kwa hio hawaachani wanaachan, plz toa maoni!

.....wewe acha hizo bhana, sasa itakuaje sasa kwetu tunaotaka kuoa? maanake tujipange kutoa flava nzuri nzuri ama?

kuna tofauti ya hawara na X! sasa wewe unamaanisha nini?
....mada kuu inahusu mahawara, vp wanaachana hawaachani, jikite huko mkuu!!

yeto.......

....ndio nn tena mkuu?
mi mwenyewe kama kuna kitu kimeclick katika mind yangu........,

lakini hivi X na hawara ni sawa

...yaweza kuwa sio sawa, but mada kubwa hapa ni hawara kuachana ama kutoachana, vp mtazamo wako!

Asante kwa kunijibia swali aliloniuliza Evelyn Salt, sasa unaweza kuendelea kumjibu ni kwanini haka kasentensi kanatia hasira....

Sorry for any inconvenience.

....good sana mkuu!

....mmhhh FP plz dadavua kidogo km inawezekana!
Nini hiyo kwenye green?
......anamaanisha time mkuu!
 
Last edited by a moderator:

......watu pia wanajifunza kwa wengine mkuu, usikasirike! ahsante kwa ufafanuzi wako, sasa wanaachana hawaachani?
 
ha haaa, kweli kabisa mtani.....
ngoja TheDealer aje atuambie alikuwa anamaanisha nini then tuendelee na mjadala
....namaanisha km watu8 alivyotoa ufafanuzi!, sasa endelea @fp


....swadakta!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…