Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiamini kila unachokisikia utaamini mengi ya uzushi..
Napita.... Sirudi ng'o!!!
Ndugu mleta mada,maneno mahawara na X's yana uhusiano upi?
kiukweli kabisa haka kasentensi sikapendi hata kidogo.....
kila nikikasoma kananitia hasira
kiukweli kabisa haka kasentensi sikapendi hata kidogo.....
kila nikikasoma kananitia hasira
Heaven on earth soma hapaumepoint sehem muhim sana nadhani kuna tofauti,kwa tafsir isiyo rasmi na navyoelewa hawara ni mpenz ambae yupo tayar kua second au nyumba ndogo au mnakua mnaridhishana kimapenz bila kuingia kwenye uhusiano ulio serious, na mara nyingi hamuachan mnapoteana tu,mkikutana tu mnakumbushiana.
wakat X anakua mpenz wako kabsa ambae ulikua una malengo nae ila mkaachana na mara nyingi hawa wakiachana wanachukiana.kwan inakua kama mlisalitiana kusameheana inakuaga ngumu kidogo
Ndugu mleta mada,maneno mahawara na X's yana uhusiano upi?
umepoint sehem muhim sana nadhani kuna tofauti,kwa tafsir isiyo rasmi na navyoelewa hawara ni mpenz ambae yupo tayar kua second au nyumba ndogo au mnakua mnaridhishana kimapenz bila kuingia kwenye uhusiano ulio serious, na mara nyingi hamuachan mnapoteana tu,mkikutana tu mnakumbushiana.
wakat X anakua mpenz wako kabsa ambae ulikua una malengo nae ila mkaachana na mara nyingi hawa wakiachana wanachukiana.kwan inakua kama mlisalitiana kusameheana inakuaga ngumu kidogo
kuna tofauti ya hawara na X! sasa wewe unamaanisha nini?
mi mwenyewe kama kuna kitu kimeclick katika mind yangu........,
lakini hivi X na hawara ni sawa
Asante kwa kunijibia swali aliloniuliza Evelyn Salt, sasa unaweza kuendelea kumjibu ni kwanini haka kasentensi kanatia hasira....
Sorry for any inconvenience.
hayo maneno hata mimi sikuyawaza sana kitofauti, ndo maana nilisema kasentensi sikapendi.Heaven on earth soma hapa
Nini hiyo kwenye green?
wanaachana sana
kujiendekeza tu some tym!!