Mahari za Wahaya

Mahari za Wahaya

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
12,061
Reaction score
16,557
Wakuu,

Kama kuna mwenye kufahamu mahari za Wahaya aniambie huwa ni kiasi gani.

Asanteni
 
kaanzie temeke xudan, xinza,bugurun yte imejaa wahaya,nenda maxai club,joli
 
kumbuka tu kuwa debe la senene linakuhusu tena uzifunge kwenye entukulu
 
kaanzie temeke xudan, xinza,bugurun yte imejaa wahaya,nenda maxai club,joli
really-nigga-really.jpg
 
nataka nichunguze kwanza nijue gharama zao ili nijue kama namuoa kwanza au nachapa mimba kwanza.

Duh!!! Ila technique ya mimba kwanza ndiyo nzuri maana bargain power yako inakuwa juu.... Unaweza kujikuta hadi wanakukopesha kabisa😅
 
Watu wengine mnapenda kweli kutukanwa yaani wahaya woote mpaka lafudhi hazijifichi unaomba msaada hapa
Nina wasiwasi na ulijali wako
 
Duh!!! Ila technique ya mimba kwanza ndiyo nzuri maana bargain power yako inakuwa juu.... Unaweza kujikuta hadi wanakukopesha kabisa😅


mkuu usifanye mambo kishamba hivyo, kama amepanga kuoa kwa utaratibu mzuzi aoe bahna wazae ndani ya ndoa ni vizuri kabisa huwezi jua nini kitatokea baada yakumpa mimba akiwa kwao.

pia kuna familia hazishtuki kisa umempa mimba tena ukileta masharau kisa mtoto wao ana mimba utafukuzwa kama shetani makanisa ya walokole!!
 
Kiswahili kinakufa hivihivi tunakiona, inauma.

Mahali = sehemu, eneo
Mahari = kitu/fedha itolewayo kwa familia ya mwanamke wakati mwanamme anapotaka kuoa
 
Back
Top Bottom