Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
Kuna uwezekano mkubwa wa ukisemacho mkuu,
ila mdau inabdi akumbuke kuwa mahari huwa haimalizwi yote kwa uzoefu wangu.
at least unatakiwa ulipe 1/3 au nusu.
nani wa kumlipia m3 leo?
wazazi acheni kugeuza watoto wenu mitaji!!