Mahali sina tatzo nayo ila kwa milion 6? sherehe yenyewe iwe ngapi? mnauziana? na mahali hawez kuwa kipimo ch upendo et kwamba ukitolewa mahari kubwa ndo unapendwa
Karibu mimi kwangu mahari ikizid sana 2milHaya bwana daudi
Ulishindwa kuchukua hata mkate kwa mangi????
Umechanga desa au mie sielewi?????? kwani tunapika hapa???
Mmmmhhh kazi kwelikweli
Hiyo hela ni ndogo kulinganisha na huduma utakazopewa...
mwisho ukiishia kuteswa unalia,unauza utu kwa hela! eti 'huduma utakazopewa',soon naona mnarudi utumwani,samahn lakn
Kubali utalipa wakupe muda, ukishachukua mkeo usiwape hata mia.Niaje wana MMU
Yamenikuta mwenzenu, mwezi uliopita nilipeleka mahari sehemu fulani ili niweke huduma karibu. Sasa yamenikuta, wamenipangia Sh Mil 6.2.
Ukilinganisha na uwezo wangu nashindwa kuilipa hiyo, nimeamua kumuacha coz na yeye anasema hataki kuja bila wazazi kuridhia na anamimba tayari ya miezi mitano na wazazi wake hawajui.
Mie nimeamua kuachana nae kama anakua na msimamo huo na nitakomboa mtoto.
WE UNAONAJE?
Siko hapa kufurahisha watu/mtu,,,,, sibishani na mtu bali tunajadili hali halisi.
aafu watu kama wewe ndio mnaojifanya kudai haki sawa wakati mnaendekeza kununuliwa!!
hivi wewe kwenye ukoo wetu utaongeza nini zaidi ya kutuchonganisha?
hela zenu zenyewe mnazopata mnapeleka kwenu aafu unataka nilipe m5!!!
Hiyo hela ni ndogo kulinganisha na huduma utakazopewa...