Mahari yaniachisha na mke wangu

Mahari yaniachisha na mke wangu

kama ameshamtundika mimba basi biashara imeisha atampata tu tena hata bure tu.bidhaa ikishakuwa second hand value yake sio sawa na brand new
 
Wadada wengi ninaowafahamu walishinikiza wazazi mahari ipunguzwe, hao wanajua maisha na kuwa Kuna maisha baada ya sherehe za ndoa. Nyie mnaosubiri watu wajipange ili mlipiwe mahari kubwa mtaishoa kusubiri.

ukiona mchumba anashabikia mahari kubwa hata hasaidii kushawishi ishuke huyo ni wa kumuogopa tena hafai kabisa.msichana mnayeendana naye lazima apime uwezo wako
 
mkuu hiyo mimba uliyomkongomeka ni mahari tosha....but nna shaka kwa jinsi wakwezo na mpenzio wanavyoabudu MTONYO unaweza ukute hata huo ujauzito sio wako...utapigwa changa mkuu kwa mwendo wako wa KUJIMWAGA....kama vp subiri mtoto azaliwe UTOMASIKE...(TOMASO)
 
Una chumbia mtoto wa watu huna tembo kadi???
Toa mihela hiyo upate mkeee
 
Tuko jamii tofauti huwezi elewa ukoo unaongezekaje.....
kama ukoo wenu wa kiswahili utasingizia mke?????
niache kusaidia kwetu ntakua kichaa wa akili

sasa si nimekununua?
nikikununua maana yake hutakiwi kujihusisha na mambo ya kwenu!!
nimekuhamishia kwetu na wewe ni mali yangu ntakufanya nitakavyo..
Kuna utofauti mkubwa sana kati ya kuozesha mwanamke na kumuuza.
na ukute wazazi wanalazimisha harusi kubwa wakati wamemkamua kijana wa watu mtaji wa kuanzisha duka
 
Hiyo hela ni ndogo kulinganisha na huduma utakazopewa...

Huduma gani??? Papuchi au maana kina muda zinachoka sana.. Mnauzwa na wazazi wenu ndo maana tunawatumia mishachoka tunatafuta wengine coz mnauzwa na mnakubali..!! Kama kuna kitu mngepigania wanawake na wanaume waacha kuwanyanyasa basi pingine kuuzwa.. M6 kwa huduma gani? Halafu unaweza kukuta dem wa kawaida sana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Huduma gani??? Papuchi au maana kina muda zinachoka sana.. Mnauzwa na wazazi wenu ndo maana tunawatumia mishachoka tunatafuta wengine coz mnauzwa na mnakubali..!! Kama kuna kitu mngepigania wanawake na wanaume waacha kuwanyanyasa basi pingine kuuzwa.. M6 kwa huduma gani? Halafu unaweza kukuta dem wa kawaida sana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums[,/QUOTE]

Wa bure wako wengi kaoe hao,,,,,, kila mbuzi anakula kwa urefu wa......... mahari ilikuwepo toka enzi sijaona point ya kuuzwa inakujaje miaka hii
 
unadai "hakuna mwanamke asietaka mahari dunia hii" halafu hapo hapo unatoa mfano wa mtu ambae alitaka mwanae aolewe bila mahari,hivi unakijua hata ulichokiandika?

By the way,unaujua uzito wa kusema "hakuna mwanamke asietaka mahari dunia hii"?

Unajua maana ya dunia wewe?

Yaani wewe hujui hata kile ambacho kinaendelea mkoa jirani na huo unaoishi kuhusiana na suala la mahari halafu unajidai kujua ya dunia,una hatari sana wewe ....

Hujui hata kuna dini ambazo hazitambui mahari,wewe unakurupuka tu "hakuna mwanamke asietaka mahari dunia hii" ...!!

mkuu, tinna cute hajitambui! Hajui kuwa kuna mila zingine wanawake ndiyo wanatoa mahari!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huduma gani??? Papuchi au maana kina muda zinachoka sana.. Mnauzwa na wazazi wenu ndo maana tunawatumia mishachoka tunatafuta wengine coz mnauzwa na mnakubali..!! Kama kuna kitu mngepigania wanawake na wanaume waacha kuwanyanyasa basi pingine kuuzwa.. M6 kwa huduma gani? Halafu unaweza kukuta dem wa kawaida sana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums[,/QUOTE]

Wa bure wako wengi kaoe hao,,,,,, kila mbuzi anakula kwa urefu wa......... mahari ilikuwepo toka enzi sijaona point ya kuuzwa inakujaje miaka hii

zamani watu walikuwa wanapanga mahali bila kuthaminisha na hela. kinachotakiwa ni ile heshima ya kwamba mahali imetolewa.
tumeoa mwaka jana na walitupangia ng'ombe 6 tukawaambia tunatoa 3 na kila ng'ombe ni laki moja na nusu na wakakubali.

ingekuwa kwenu mngeanza kupiga mahesabu ya bei ya ng'ombe mnadani kama vile mnauza binti.

na hii mambo ya watu kupanga mahali kubwa ni kutokana na umaskini wa familia na tamaa ya hela. Wanaona kuozesha ndio sehemu ya kutokea.!!
kama wazazi wako wameishi miaka yao ya ujana hawajatoka usitegemee mahali itakayoletwa ndio itawatoa.
Ni kuiweka familia mpya kuishi kwa kinyongo bila sababu
 
wengine wana mikopo mikubwa bank so wanatafuta mbinu mbadala ya kurejesha mikopo

Mahari sio kubwa mkuu kwani wanaopanga ng'ombe sita au wanne, mbuzi wanne, majembe, mashuka, hela, blanketi na mambo mengine mengi tu nmesahau.
 
teh teh teh teh...sasa hizo ndo gharama zake na bahati mbaya zaidi ukute mzee/mkwe anafanya kazi tra,analithaminisha prado kwanza halafu gharama ya uchakavu na vat ndo halali yake kama mahari,utafikiri ndo kwanza unalitoa bandarini!

cc😡REV KISOLO
 
Inawezekana hiyo mimba sio yako hivyo unafukuzwa kiaina!
 
haswaaa,,, ngoja wakae nae azalie nyumban ndio iwe furaha yao
 
Kulinagana na mila za kiafrika mahari kulipa ni muhimu pia lazima but lazima ziangalie na maisha ya baadae ya wanandoa hao watarajiwa, wazazi wakitegemea kupata pesa nyingi kupitia mahali ni kosa maana hapo hawajengi bali ni kubomoa.
Binafsi nimeanza hata kuwachukia ndugu wa mwanamke japo siwafahamu kwa hiki walichonifanyia.

Hata nikilipa kuanzia mil. 2 kiukweli wife asahau kwenda kwao mpaka kuwe na mgonjwa mahututi au kuwe na msiba, huyo ni wangu na si wao tena,,, hapo hata undugu unakuwa unavunjika badala ya kuuimarisha..
 
Back
Top Bottom