asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Aiseeeeh!!!!!!
Mmmmmmmmh.......
Mmmmmmmmh.......
Haya mambo kusema ukweli ndo yanayo wa disvalue wanawake. Sikatai swala la kutoa mahari lakini huu shida yangu ni mtazamo wetu juu ya mahari kusema ukweli ni kama biashara wanawake mnauzwa jamani sasa huyo anayekataa yani kashaji price yeye ni wa million 6. Hata upewe millioni 100 billion kadhaa ukweli unabaki pale pale kwamba thamani yako na gharama walizozitumia wazazi wako kukulea hakuna pesa yeyote inayoweza fidia tamaa mbaya sana watu wanawafanya wenzao mitaji? Kwanza I doubt kama huyo mwanamke atakuwa tayari amepevuka kuna umri ukifika mzazi anatakiwa kuwa na mipaka yake. Sisi wakristo huwa tunakomalia sana suala la kuwaheshimu wazazi na wazazi huwa wanatumia laana kama defensive mechanism lakini kuna fungu pia linawaonya wazazi wasichokoze watoto wao. Hata mtoto unaweza kumlaani mzazi pia. Hili swala litawafanya wanawake muwe watumwa sana. Sababu watu watawaoa lakini mjue kazi mtakuwa nayo kwenye ndoa pengine sikuhizi michepuko imeshika kasi hata kwa wanawake sababu ndani hamna amani.
Watamuoa wao wenyewe!!! ila mi wangu mjanja afu kwao hamna njaa kama wengine. afu hawana deni lolote bank kwanza wanavyompenda mtoto wao washamwambia hawatadai kitu ili nisije nikamkomoaDogo jipange mapema. Few years to come tutakua tunaanzia 10m
Kwani ukiolewa ndo inakuwa mwisho wa kuto msaada kwenu? unaposema wanakuwa wamekupoteza hauhesabiwi tena kama mmoja wa familia yenu? mbona uko negative sana maana yako ni nini ni biashara inafanyika hapo kwamba hiyo hela ni ndogo ili iongezekeze, hapo hapo ukifika ndani unadai haki sawa........ hahahaha safari bado ni ndefu sana mahari si shukurani kama unavyodhani ni zawadi tu kuna wanawake pamoja na kupenda huwa wanakataliwa na upande wa kiume ingekuwa shukurani basi ilipaswa na mwanamke atoe kwa wazazi wa mwanaume kwa kumkubali katika familia yao...... bado uko so negative unawza mali kuliko hali halisi
Watamuoa wao wenyewe!!! ila mi wangu mjanja afu kwao hamna njaa kama wengine. afu hawana deni lolote bank kwanza wanavyompenda mtoto wao washamwambia hawatadai kitu ili nisije nikamkomoa
Ndoto ya kufilisika! Amazing No!
Wadada wengi ninaowafahamu walishinikiza wazazi mahari ipunguzwe, hao wanajua maisha na kuwa Kuna maisha baada ya sherehe za ndoa. Nyie mnaosubiri watu wajipange ili mlipiwe mahari kubwa mtaishoa kusubiri.
tina leo unalo.achana nao mwamaume anaejielewa atajitetea kupunguziwa si kukimbia.
you wish!! kwanza nyie ndo mliolewaga kwa bride price ya njiwa wawili!!
Huduma ziko nyng like kufua,, kupika,,, usafi
achia yote kubwa ni mimba na kuzaa na kulea wakati huo ww uko baa na mchepuko unafikiri hiyo m6 inafit?????????