Joseph kimlio
JF-Expert Member
- May 18, 2026
- 496
- 949
Ninanunua bidhaa gani kwako?Muigizaji Faqueen amesema mwanaume anayetarajia kumuoa anatakiwa kuwa tayari kutoa mahari ya shilingi bilioni moja.
Akizungumzia suala hilo, Faqueen amesema kiasi hicho ndicho kitakachomfanya angalau aanze kumfikiria mwanaume anayekuja kwa ajili ya ndoa.
“Mwanaume akija na mahari ya bilioni moja, angalau nitamfikiria,” amesema Faqueen
View attachment 3661274