Miss Halima
JF-Expert Member
- Aug 4, 2026
- 226
- 507
Muigizaji Faqueen amesema mwanaume anayetarajia kumuoa anatakiwa kuwa tayari kutoa mahari ya shilingi bilioni moja.
Akizungumzia suala hilo, Faqueen amesema kiasi hicho ndicho kitakachomfanya angalau aanze kumfikiria mwanaume anayekuja kwa ajili ya ndoa.
“Mwanaume akija na mahari ya bilioni moja, angalau nitamfikiria,” amesema Faqueen
Akizungumzia suala hilo, Faqueen amesema kiasi hicho ndicho kitakachomfanya angalau aanze kumfikiria mwanaume anayekuja kwa ajili ya ndoa.
“Mwanaume akija na mahari ya bilioni moja, angalau nitamfikiria,” amesema Faqueen