michael chibwana
Member
- Oct 28, 2016
- 5
- 0
Kwani mahari maana yake nini ?
hii michezo hatari , ...sana mkuu kuna mchizi wangu alipata dem akataka aoe , dem ameshakua na mahusiano takribani matatu , dem akampenda mchizi na mchizi akarespond kutaka kuoa dem anamtaka mchizi atoe m3 kama mahali jamaa, akaona anazinguliwa ...bora hata angekuwa bikra ...Jamaa yangu kapata mwanamke alieachika na aliishi kwenye ndoa miaka 5 na ana mtoto wa miaka 9 ameambiwa mahari laki nne,nimemwambia potezea kwanza,ila dem kakomaa wanataka laki nne,majanga kweli.
kuoa nitaoa ....ila si kwa mahari ambayo haustahiliusioe
tafuta unayoona inastahilikuoa nitaoa ....ila si kwa mahari ambayo haustahili
Leo nimemsikia mtu mmoja akisema kuwa ndugu yao anaejiandaa kuoa, amepangiwa mahari ya shilingi milioni tano. Na kwamba ndugu wameamua kuchangishana ili walipe mahari hiyo kumsaidia ndugu yao.
Kilichonifanya niilete mada hii hapa kwa majadiliano ni kuhusu kiwango hicho cha mahari, ambacho kwangu nakiona ni kikubwa sana. Je, hiyo si ni sawa na kumfanya binti kama bidhaa kweli.
Mbona umekuwa mkali ghafla mkuu?Kama unampango wa kumuoa manake umeona anakufaa
Toa mahari uliyopangiwa mkuu,acha kejeli
Kama huwezi tafuta anayefikia kiwango cha mahari yako

Milioni 5? Naye amekubali?basi asingechangisha,watu hawachangishi mahari
kama ana "bikra" sawa vinginevyo hiyo skrepa chukua bureLeo nimemsikia mtu mmoja akisema kuwa ndugu yao anaejiandaa kuoa, amepangiwa mahari ya shilingi milioni tano. Na kwamba ndugu wameamua kuchangishana ili walipe mahari hiyo kumsaidia ndugu yao.
Kilichonifanya niilete mada hii hapa kwa majadiliano ni kuhusu kiwango hicho cha mahari, ambacho kwangu nakiona ni kikubwa sana. Je, hiyo si ni sawa na kumfanya binti kama bidhaa kweli.