Mahari shilingi milioni 5?

Mahari shilingi milioni 5?

Mahari haiwi kubwa au ndogo kwa kiasi cha fedha au vitu tajwa; Bali hali halisi ya kiuchumi ya mtajiwa.Kuna mtu hata akiambiwa laki5 bado atalalamika kuwa anaonewa.

Mwingine akiambiwa mil 10 ataona fair na atalipa cash.Cha kuzingatiwa hapo ni hali ya muoaji kiuchumi then mambo yanapangwa. Mimi niliambiwa mil. 2 nikapinga. Ukawa ugomvi karibu miezi 7 ila baadae nikaridhia mil 1.5 nikaishana nao.

But mfumo wa maandalizi ya kumuaga binti ndio unaopelekea shida kubwa ktk upangaji wa mahari. Concern ya familia ya binti inakua ni kutarget pledges za x number of sherehe walizopanga kuandaa na sio kuanzisha undugu.

Jamaa asife moyo, kama anataka kuhalalisha janga lake la maisha basi atumie mbinu mbadala. Mbinu ni nyingi sana. Aongee na wakubwa watamwwlekeza vema
 
Ukilipiwa kubwa husemwi? Tena mahari zina kisirani kibaya sana. Unaweza shangaa ndoa haina aman ukawa hujui chanzo.... Mahari iwe na maridhiano. Ndoa inakua tamu na haipaswi kuacha kinyongo upande wowote

kiukweli ni ngumu kuzuia kusemwa....
 
Yote yanawezekana kwa upendo tu ila kama ni mimi siwezi kutoa hiyo hela mabinti wenyewe wameshakua vicheche unaoa leo kesho wanaanza kukugongea kwanza mi naona utaratibu ungebadilika wanawake ndio wawe wana tutolea mahari
 
Inategemea unaoa wapi na class ikoje mfano ukaoe kwa chenge mzee wa escrow mil 5 ni ndogo sana kwake
Sasa mzee wa escroe akikutana na mzee wa epa milioni 5 ni hela ya chai,

Kazi ni pale mzee wa escrow akutane na muoaji mwenyewe kapukuu service charge ya Tanesco tu ni majanga, ukimtajia milioni 5 anazimia mara 3 anyway mahari hua hailipwi yote (unless baba mkwe kauzu)
 
Yaani wajanja wengi siku hizi ndio maana wanawapa mimba mabinti halafu ndio wanaenda kubargain mahari... Pindi binti anapokuwa na mimba ukienda kwa wazazi wake mahari muoaji ndiyo unajichagulia unaweza kutoa shilingi ngapi!!!?

Mbaya sana.
 
yote yanawezekana kwa upendo tu ila kama ni mimi siwezi kutoa hiyo hela mabinti wenyewe wameshakua vicheche unaoa leo kesho wanaanza kukugongea kwanza mi naona utaratibu ungebadilika wanawake ndio wawe wana tutolea mahari

Huo utaratibu wa binti kumtolea mahari mumewe mtarajiwa upo nchini India. Jambo hilo limesababisha baadhi ya wazazi kutoa mimba za watoto wa kike, kwa kukwepa kuja kulipa mahari huko mbele ya safari, wakati wa binti yake kuolewa ukifika, ha hivyo kusababisha upungufu wa wanawake katika baadhi ya maeneo nchini humo. Siku moja nilisoma kisa cha kweli kwenye eneo moja nchini humo, kwamba kutokana na uhaba wa wanawake ndugu wanne wa familia moja waliamua "kumuoa" mke mmoja. Jambo la ajabu kabisa kutokea katika dunia hii.
 
jamaa yangu alitajiwa 4M akamjaza mimba mpenzi wake wakampa kwa bei punguzo.WASICHANA PINGENI MAHALI MUOLEWE.
 
Nyie mnazungumuzia 5m kuna watu wanaoa kwa ngombe 30 ebu value kwa laki 5 kwa kila ngombe bado vitu vingine
 
Nikikutaaa mahal juuu ya uwezooo wangu sioi nawaaachiaaa binti yao
 
Kama binti anauoendo na wewe lazima anajua hali yako awezi akubaliane na wazazi wake ela kubwa wakati mnatakiwa muwe na maisha yenu mazuri huyo binti ni mjasiria Mali mwambie asichangiwe mahari watu watakuja kuchangia hadi papuchu atafute Wa level yake
 
Uliza vizuri uchagani mahari hailipwi yote unalipa kwa mafungu,pia mahari c kila familia imeweka hela mbele wengine unatoa kuku au mbuzi mambo yanaisha
Basi ungesema uchagani sio eti mahari huwa haitolewi yote
 
Wasalam

Leo ndugu zangu nina jambo moja murua sana ambalo huwa linakera. Suala la mahari kabla ya ndoa ni jambo la hheri sana na heshima kwa binti aliyejitunza.

Tatizo linakuja mahari hizi zinapokuwa kutolewa kwa kiwango kisichostahili kwa walengwa. Mfano waweza kuta mwanamke tayari ameshatumika tangu akiwa na binti wa miaka kumi na nne anakuja kuchumbiwa akiwa na miaka 24 ama 26 then anataka kiwango cha mahari zaidi m1 ama 2 , kitu ambacho hakiendani kabisa na uhalisia.

Wakati mwingine mahari si tatizo bali tatizo ni unamtolea. Je ana sifa ya hiyo mahari? Kwa binti bikra haswaa hata akitaka M5 sawa, sio yule aliyetumika.

Vijana na waoaji tuamkeni sasa na nyie mabinti jitambueni, kama ukijijua skrepa tayari hakuna haja ya kujikweza.

Alamsiki.
 
Kama unampango wa kumuoa manake umeona anakufaa

Toa mahari uliyopangiwa mkuu,acha kejeli

Kama huwezi tafuta anayefikia kiwango cha mahari yako
 
Jamaa yangu kapata mwanamke alieachika na aliishi kwenye ndoa miaka 5 na ana mtoto wa miaka 9 ameambiwa mahari laki nne,nimemwambia potezea kwanza,ila dem kakomaa wanataka laki nne,majanga kweli.
 
Wew unataka utoe sh ngapi au tukupe bure?.
inshu sio kutoa kiasi gani inshu, nikupewa mahali inayostahili,we ushakuwa used then wataka mahali ya M3 , ama kuna mgodi wa dhahabu uko chini aisee
 
Back
Top Bottom