Na mara nyingi wenye viwango kama ivo wako vizuri sana unakuta iko ki milioni 5 ni zawadi ya binti anayeolewaWanatafuta mtaji hao cjui hiyo hela ni plus vat
Mbona 5m ni ya kawaida sana kwa wengine watu humu mnashangaa jambo la kawaida
Na mara nyingi wenye viwango kama ivo wako vizuri sana unakuta iko ki milioni 5 ni zawadi ya binti anayeolewa
mil5 mtoto sild o mwajuma chupi kubwa????
Naona ujafikia wakati wa kuhitaji mwenza wewe! Hilo la kutolipa mahari yote labda liko kwenu kwani ni sheria kutolipa mahari yote? Unabaki na deni ukweni ndo tabia gani iyoSasa hivi hawa dada zetu wko waluwalu nilipe 5m nimeona nini kwake wengine hawana,istoshe mahari huwa hailipwi yote wazazi we2 mpka leo bdo wanadaiwa mahari na wakwe zao
Abadili asibadili ni juu yake linapokuja suala la kupendwa na kuolewa ni issue nyingine mwanaume anatoa hiyo akijua anakwenda kuishi na mtu wa namna gani issue apo si papuchi tuKawaida kumtolea mtu mahari 5m wakati tangu avunje ungo kazi yake ni kubadilisha mabwana kama chupi?? Nonsense kabisa!
Abadili asibadili ni juu yake linapokuja suala la kupendwa na kuolewa ni issue nyingine mwanaume anatoa hiyo akijua anakwenda kuishi na mtu wa namna gani issue apo si papuchi tu
Naona ujafikia wakati wa kuhitaji mwenza wewe! Hilo la kutolipa mahari yote labda liko kwenu kwani ni sheria kutolipa mahari yote? Unabaki na deni ukweni ndo tabia gani iyo