Mahari shilingi milioni 5?

Mahari shilingi milioni 5?

Wakubwa mbona mnalalamika saana aseeh. Huku
Tunatoa
ng'ombe minimum 10
Mbuzi minimum 32
Bado wale wa kula honeymoon minimum mbuzi 4
Sherehe unaweza kuchinja mbuzi wa 3 na ng'ombe 1. Matumizi mengine m1

Na ukitoa wachache ni bonge la shame kwa ukoo na rika lako. Ila sasa sisi mkizinguana kwenye ndoa unaruhusiwa kudai mahari yako yote kama binti wapo vizuri wanarudisha kama hawapo vizuri unamuuzia mwanaume mwingine
Na usipopata mteja wa kununua huo mtumba?
 
Leo nimemsikia mtu mmoja akisema kuwa ndugu yao anaejiandaa kuoa, amepangiwa mahari ya shilingi milioni tano. Na kwamba ndugu wameamua kuchangishana ili walipe mahari hiyo kumsaidia ndugu yao.

Kilichonifanya niilete mada hii hapa kwa majadiliano ni kuhusu kiwango hicho cha mahari, ambacho kwangu nakiona ni kikubwa sana. Je, hiyo si ni sawa na kumfanya binti kama bidhaa kweli.

Ana qualification gani?maana ya elimu.kazi anayofanya nk,je ni bikra kote?
 
Sielewi kwanini watu wanaoa??? Weka mtu ndani mkivurugana kila mtu anaenda kivyake. Mimi hata shilling 1000 sitoi na sherehe sijui nini hio sahau kabisa.
 
Dada angu kaolewa kwa mil 12 namaisha yanaendaaa aseee alitajiwa ml 16 wakaomb kupunguziwa mkioa uko wetu mjipangeee
 
Back
Top Bottom