ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,665
- 127,433
Na siku hizi wanasigezana kweli sio utani😅Vijana shikilieni hapo hapo. Mwanamke bikira ndie mwenye haki ya kutolewa mahari. Hawa wengine ni mwendo wa sogea tuishi tu
Na siku hizi wanasigezana kweli sio utani😅Vijana shikilieni hapo hapo. Mwanamke bikira ndie mwenye haki ya kutolewa mahari. Hawa wengine ni mwendo wa sogea tuishi tu
Mimi naomba ninunuliweMahari ni muendelezo wa biashara ya utumwa kwa chaka la utamaduni.
Ndiyo maana watu walioelewa vizuri tamaduni za Africa na kusoma falsafa za dunia, kama Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, walipinga vikali habari za mahari.
Ila bado watu wengi wanapenda sana kufanya biashara za kuuza ndugu zao utumwani, na hata wanawake wengi bado wanapenda kununuliwa, ndiyo maana mahari inaendelea.
Nahuku ulitoa mahari ml 6.5 na alikuwa na mtoto eti kisa mweupeVijana shikilieni hapo hapo. Mwanamke bikira ndie mwenye haki ya kutolewa mahari. Hawa wengine ni mwendo wa sogea tuishi tu
Ndiooukiachana na ujinga wa wamasai, mwanamke akiwa bikira hata ng'ombe 30 natoa, hizi akili ni za kijinga sana.......... imagine unatoa ng'ombe 150 halafu baadae unakuja kugongewa na mapimbi ambao haaajatoa hata 100, torati iliamuru nusu ya mali kurudishwa endapo mume atamuacha mke kwasababu ya uzinzi, sasa hebu fikiria kuna masai atarudisha nusu ya mahari endapo binti yake atakutwa na hatia ya uzinzi?
Fikiria tu kuhusu akili za hawa watu.
Nitakuwa wa mwisho kuamini wanawake wana akili kuzidi wanawake
Wewe si ni ng'ombe.Mimi naomba ninunuliwe
Eh eh lazima nitolewe maharii ng'ombe sabini, kuku 25 na pesa taslim ml 200Wewe si ni ng'ombe.
Watakununua tu halafu wakikuchinja wakule nyama usipige kelele.
Wewe ni ng'ombe ndiyo maana unabadilishwa kibiashara kwa ng'ombe.Eh eh lazima nitolewe maharii ng'ombe sabini, kuku 25 na pesa taslim ml 200
NitakualikaWewe ni ng'ombe ndiyo maana unabadilishwa kibiashara kwa ng'ombe.
Sina muda mchafu huo.Nitakualika
Sasa utoe mahari kama shukrani ya kutunziwa nini wakati umemkuta mwanamke tayari ameshatumikaNa siku hizi wanasigezana kweli sio utani😅
Kupata vichekesho hivi bonyeza 0😂😂Eh eh lazima nitolewe maharii ng'ombe sabini, kuku 25 na pesa taslim ml 200
Hii id yako imenikumbusha mbaliKupata vichekesho hivi bonyeza 0😂😂
Kha basi kaoe mbinguni maana kwa sasa hakuna mwenye nayoSasa utoe mahari kama shukrani ya kutunziwa nini wakati umemkuta mwanamke tayari ameshatumika
Una wivuSina muda mchafu huo.
Wewe ndiye una wivu, huamini sitaki kuja kwenye harusi yako, unataka nije kwenye harusi yako mimi sitaki.Una wivu