Lloyd Munroe
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,294
- 35,645
YUZ-D .
Inaokotwa haiuzwi.
Inaokotwa haiuzwi.
Mahari ni mkataba wa mauziano1. Hakuna utamaduni wa kiafrika. Afrika ina maelfu ya makabila halafu iwe na utamaduni mmoja? Kwamba mmaasai atakuwa sawa na mmatumbi? Hapana.
2. Mahari ni mazoea tu kwa sasa. Naamini kuna makabila yasiyo na utaratibu huo au yana "malipo" yasiyokuwa ya kimali. Mahari imekuwa sehemu ya kusheherekea kuolewa kwa binti tu.
Niliwahi kusikia kwamba kikristo mahari inaweka agano flani, hii sababu ina mashiko kidogo ila uhakika wake sijaupata.
Mimi nqtuliaMahari mnataka ila kutulia kwenye ndoa aaaah....
Wote wanadamuTofauti yako na Rachel dangwa ni ipi??
EhUnaruhusu mabinti kuuzwa?
Umesikia wapi hao ni waarushaMasai wengi kule arusha wanahaha ata kuolewa bure inashindikana
Dada angu alitolewa mahari ya ml 15Wewe ulitolewa mahari gani?
Kutulia hakuhusiani na mahari jamani, msichanganye mambo🤣🤣Mahari mnataka ila kutulia kwenye ndoa aaaah....
Swali langu umeelewa?Dada angu alitolewa mahari ya ml 15
🤣🤣 Mtoto wa watu ulinikuta bado mbichiiiiiii.Kama nilikuta seal zote nitamaliza, ila kama zilishatolewa nimeshamaliza...
ukiachana na ujinga wa wamasai, mwanamke akiwa bikira hata ng'ombe 30 natoa, hizi akili ni za kijinga sana.......... imagine unatoa ng'ombe 150 halafu baadae unakuja kugongewa na mapimbi ambao haaajatoa hata 100, torati iliamuru nusu ya mali kurudishwa endapo mume atamuacha mke kwasababu ya uzinzi, sasa hebu fikiria kuna masai atarudisha nusu ya mahari endapo binti yake atakutwa na hatia ya uzinzi?Utamaduni wa kiafrika lazima mwanaume amtolee mwanamke mahari awe na mtoto au asiwe na mtoto.
Ukiamua kuoa kwenye boma la watu wenye miiko yao ni lazima utoe mahari mf. Sisi wa Masai .
Ukiwa bikra unatoa mahari ya ng'ombe mia moja .
Akiwa na elimu nanibikra ni ng'ombe 150. Ndio umchukue hapo hujatoa kishika uchumba na kuleta zawadi yakuwa unataka kuoa boma hilo . Pia kuna madebe ya pombe 15. vyakula na kishika uchumba ya pili tena madebe ya pombe kumi na mahari.
Pili kama msichana hana hiyo bikra ni ng'ombe 30 hata 25 itakubalika ila kama walimsomesha ni 35 mpaka hamsini.
Taratibu za pombe zawadi iko pale pale na kishika uchumba .
Kama anamtoto mahari ni ng'ombe wa 4 mpaka wa tano na pombe madebe 10 au pungufu ya hapo na kama anaelimu ni ng'ombe hizo hizo.
So kama mwanaume asipokutolewa mahari ujue akupendi. Jua hilo tu.
Ndio point yangu ni hii kwanini mama yako alitolewa mahari wewe leo mchumba wako aseme anakununua eti . Akitoa mahari ndio akununue??
JItafakari uchukue hatua .
ukiachana na ujinga wa wamasai, mwanamke akiwa bikira hata ng'ombe 30 natoa, hizi akili ni za kijinga sana.......... imagine unatoa ng'ombe 150 halafu baadae unakuja kugongewa na mapimbi ambao haaajatoa hata 100, torati iliamuru nusu ya mali kurudishwa endapo mume atamuacha mke kwasababu ya uzinzi, sasa hebu fikiria kuna masai atarudisha nusu ya mahari endapo binti yake atakutwa na hatia ya uzinzi?Utamaduni wa kiafrika lazima mwanaume amtolee mwanamke mahari awe na mtoto au asiwe na mtoto.
Ukiamua kuoa kwenye boma la watu wenye miiko yao ni lazima utoe mahari mf. Sisi wa Masai .
Ukiwa bikra unatoa mahari ya ng'ombe mia moja .
Akiwa na elimu nanibikra ni ng'ombe 150. Ndio umchukue hapo hujatoa kishika uchumba na kuleta zawadi yakuwa unataka kuoa boma hilo . Pia kuna madebe ya pombe 15. vyakula na kishika uchumba ya pili tena madebe ya pombe kumi na mahari.
Pili kama msichana hana hiyo bikra ni ng'ombe 30 hata 25 itakubalika ila kama walimsomesha ni 35 mpaka hamsini.
Taratibu za pombe zawadi iko pale pale na kishika uchumba .
Kama anamtoto mahari ni ng'ombe wa 4 mpaka wa tano na pombe madebe 10 au pungufu ya hapo na kama anaelimu ni ng'ombe hizo hizo.
So kama mwanaume asipokutolewa mahari ujue akupendi. Jua hilo tu.
Ndio point yangu ni hii kwanini mama yako alitolewa mahari wewe leo mchumba wako aseme anakununua eti . Akitoa mahari ndio akununue??
JItafakari uchukue hatua .
ukiachana na ujinga wa wamasai, mwanamke akiwa bikira hata ng'ombe 30 natoa, hizi akili ni za kijinga sana.......... imagine unatoa ng'ombe 150 halafu baadae unakuja kugongewa na mapimbi ambao haaajatoa hata 100, torati iliamuru nusu ya mali kurudishwa endapo mume atamuacha mke kwasababu ya uzinzi, sasa hebu fikiria kuna masai atarudisha nusu ya mahari endapo binti yake atakutwa na hatia ya uzinzi?
Fikiria tu kuhusu akili za hawa watu.
Nitakuwa wa mwisho kuamini wanawake wana akili kuzidi wanaume
Mahari ni muendelezo wa biashara ya utumwa kwa chaka la utamaduni.Utamaduni wa kiafrika lazima mwanaume amtolee mwanamke mahari awe na mtoto au asiwe na mtoto.
Ukiamua kuoa kwenye boma la watu wenye miiko yao ni lazima utoe mahari mf. Sisi wa Masai .
Ukiwa bikra unatoa mahari ya ng'ombe mia moja .
Akiwa na elimu nanibikra ni ng'ombe 150. Ndio umchukue hapo hujatoa kishika uchumba na kuleta zawadi yakuwa unataka kuoa boma hilo . Pia kuna madebe ya pombe 15. vyakula na kishika uchumba ya pili tena madebe ya pombe kumi na mahari.
Pili kama msichana hana hiyo bikra ni ng'ombe 30 hata 25 itakubalika ila kama walimsomesha ni 35 mpaka hamsini.
Taratibu za pombe zawadi iko pale pale na kishika uchumba .
Kama anamtoto mahari ni ng'ombe wa 4 mpaka wa tano na pombe madebe 10 au pungufu ya hapo na kama anaelimu ni ng'ombe hizo hizo.
So kama mwanaume asipokutolewa mahari ujue akupendi. Jua hilo tu.
Ndio point yangu ni hii kwanini mama yako alitolewa mahari wewe leo mchumba wako aseme anakununua eti . Akitoa mahari ndio akununue??
JItafakari uchukue hatua .