Hii imekuwa kinyume na jamaa aliyekwenda kuchumbua mwanamke aliyeachika , akatajiwa mahari kubwaa zaidi ya 5mil, alipouliza sababu akajibiwa, Huyu anauzoefu mkubwa sana wa ndoa kwa hiyo kutokana na uzoefu wake inabidi mahari iwe kubwa teh teh.... teh