Mwe ndagha mwendie!
Ni kweli,dume sio mjadala,dume hatajwi bei kama ilivyo,lakini jamii ya kinyakyusa ni pamoja majigambo, na matambishiano,hivyo mtoto wa kiume lazima aonyeshe kwamba yupo na ataendelea kuwepo.Vipo vituko na michezo mbalimbali wakati wa sherehe hizo.Na kama unaona hiyo gharama basi kaoe uchagani ambako wanachukuliwa bure
Mm ninachokielewa ni ng'ombe mmoja dume hyo ni non negotiable na sh. Kama laki1 hvi ila mahari kamaili ambayo ni negotiable ni ng'ombe3 . Hayo mengne sijui vitenge na nn hyo ni unyonyaji tu wa baadhi ya familia
View attachment 155796
Karibu mbeya kwa mikono miwili
Sent from my iPhone using JamiiForums app[/QUO
Ndo Zenu Kuwafilisi Wenzenu