Smile, miss chagga nasikia kwenu mahali wanadai na hela ya sendoff kabisa.!
Last edited by a moderator:
umenena vema ila kwamimi hata kama sijatoa mahari ujasiri wa kufagia sina wala kupika na ukiona siku nafanya hivyo basi ujue tayari nilishapelekwa kwa kalmanzira au niko kazini namtega mbuzi wangu!Nasikiliza na kusoma kwny media akina mama wamecharuka kwl kwl kua wanataka haki sawa yaani kwny ndoa pia kuwe sawa kimaamuzi tena usiombe ukutane na wanaharakati wa haki za wanawake utajuta,nliwahi kuhudhuria kongamano la TGNP kwa wiki 1 akina mama walikua wamecharuka hasa wanadai haki sawa povu linawatoka nakua mpole maana niko kwny msitu wa akina mama namlaumu alienileta kwny hili kongamano
Najiuliza ivi hii MAHARI tunayodaiwa ya nini km tunapiga vita mila na desturi za m'ume ku-dominate maamuzi kwny ndoa navuta picha mahari unaambiwa milioni 2.5 hapo bado vitu kibaooo unadaiwa alafu wanataka binti yao apate haki sawa mbn huu usawa hamkuuonyesha mwanzoni wakati mnakurupuka kuniuzia binti yenu tena ukiomba wapungeza baba mkwe povu litamtoka "eti unajua nimemlea kwa shilingi ngapi?".
Bado naamini adui wa mapambano ya akina mama kwenye vita hii ni akina mama wenyewe ukwl unabaki huu utaratibu ni kichocheo cha mfumo dume ndo maana kila kumbu2 ya mahari ikija kichwani ujasiri wa kushika fagio unapotea,kuoshoa vyombo na kumpikia inakua mtihani ukiamini nililipa pesa nyingi sana hawa wanaharakati wamekua km "chichidodo" bado naamini ukiona binti kwenu wanataja mahari uolewe jua unauzwa unatakiwa kumsikiliza mnunuzi km wakati ule mnunuzi anamsikiliza muuzaji.
Inawezekana mimi niko na mtazamo hasi ila siogopi kusema kua huu usawa ni maigizo ambayo script zake zimeandikwa na wazungu ambao hatufanani kwny mapokeo ya mila na desturi kabisa ila waigizaji wako bussy hasa kusoma script na kuzifanyia kazi mbaya zaidi wengi wa akina mama anatoka kwny kongamano ana hasira hasa akifika nyumbani "baba yenu kaacha hela ya mboga?"
Niwatakieni kila la heri kwny harakati zenu ila mjue director wenu wa hii movie(mzungu) katulia kule anamuheshimu mumewe vibaya mno anawatia kichaa nyie waigizaji wake na mnavozidi kucharuka ndo wanaume wanapata hasira na mahari zao baadala ya nafuu ndo haya maafa mnayoyaona mama kadai haki anaishia kuumizwa kumbe tatizo ni kule mwanzo mlimpomuambia mtani wangu msukuma alete ng'ombe 100 alafu leo unataka aingie jikoni apike wakati wewe unaenda kusuka kwa jirani.
Smile, miss chagga nasikia kwenu mahali wanadai na hela ya sendoff kabisa.!
Smile, miss chagga nasikia kwenu mahali wanadai na hela ya sendoff kabisa.!
Kwani TGNP wenyewe wameolewa?
Hapo kwenye mahari wanawake wanahusika vp ktk mfumo dume? Sababu ni ninyi wanaume ndiyo wapanga mahari, na ni ninyi wenyewe ndiyo mnaolalamika, wanawake huambiwa tu au wachache wanaoshiriki ktk kupanga mahari, hivyo ninyi ndo mnaouendekeza mfumo dume. Kama ishu ni kuuza basi mnauziana wenyew(waume kwa waume) tena wamama ndo huwa watetez kiaina flan kuomba mahari ipunguzwe, lakin wanaume uso mbuzi.
Mimi naapa sitakaa nitoe mahari hata iweje na hata binti yangu sitataka aolewe kwa mahari.
Kuna yele mama aliyekuwa TAMWA, sasa ivi nasikia anasoma PhD, alikuwa mkali kweli wakati akitetea ishu za kina mama, but trust me, ni jirani pale tabata kimanga, home anajiheshimu na kufanya shughuli zote za wakinamama..huwezi amini, ngoja asbh aamke kwenye media anavyopaza sauti...
uko kinyume na maandiko mkuu angalia usije ukakufuru