Muasiasi ni Mwendazake na kundi lakeUnajua hii nchi ni Kama watu hawana akili. Issue sio kurudi watu wa JK,Mkapa au Magufuli. Issue kazi ifanyike Maendeleo yapatikane
Ila kwa namna hii kila siku tutarudi nyuma, kila mtu akiingia anaweka watu wake bila kujali wapo vizuri au vibaya