Maharage Chande ni kioo chetu

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
950
2,866
Nikiwa ndio nimeajiriwa NBC mwaka 2008 kuelekea 2009 kwenye mkutano mmoja NBC MD's road tour, nilimsikia mtu mmoja anahutubia anasema "Mtaimba sana Solidarity forever lakini mtabaki hapo hapo,Mimi nimeomba nafasi ya COO wa NBC nimeitwa kwenye interview nimekutana na makaburu tu hakuna Mtanzania, nikaenda South Africa nikawagaragaza makaburu kwenye interview na nikapata nafasi hii niliyonayo sasa, sasa Nina nyumba ya privilege na gari ya privilege lakini ninyi mnalalamika hampandishwi vyeo na Watanzania wanasema kazi hamna wakati nafasi ya ukurugenzi wa Posta bank imetangazwa mwaka wa pili sasa hakuna aliyeomba?" nikauliza wenzangu huyu nani wakasema Maharage Chande,Chief Operating Officer,COO niliguswa sana na maneno yake,

Maharage Chande akaendelea "Mimi sikai milele kwenye hiki cheo nakaa miaka miwili na nataka ukurugenzi kama sio hapa basi popote pale,akageuka kumcheki Lawrence Mafuru aliyekuwa Head of Finance nae alikuwa anautaka ukurugenzi wa NBC na wote wakageuka kumtazama Vermaas aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NBC,kaburu alitikisa kichwa kukubaliana nao, Lawrence Mafuru alianza kukaimu nafasi ya Ukurugenzi Mkuu wakati Vermaas akienda Christmas Holiday,na mwaka mmoja mbele Lawrence Mafuru akawa Mkurugenzi Mkuu wa NBC na mwaka mmoja mbele Maharage Chande akawa Mkurugenzi Mkuu wa Multichoice Afrika Mashariki.

Nimalizie kwa kusema,story hii iitwe Mr Beans our inspiration.
 
Ukiondoa mifumo mibovu ya uendeshaji wa nchi yetu huyu Maharage Chande nahisi atakuwa vizuri tu kiutendaji ila ndio ivyo wakina January wameamua kumuingiza kwenye mifumo yao ya upigaji na sasa kumuharibia kabisa CV yake nzurii aliyoipambania mda mrefu kuitengeneza.

Sidhani kama Multichoice wanaweza kumpa Zonal MD mtu ambaye ni mbumbumbu kichwani haiingii akilini kutakuwa na namna huyu bwana wamemchezeshea wakubwa ili aonekane yeye ndio mbaya ila kuna watu nyuma wamepiga ela zetu kupitia yeye

Hii ilishawahi kutokea kipindi cha nyuma Lowasa alivyotolewa chambo ili wakubwa waendelee kula kuku kwa mrija

Masikini TANZANIA yangu wajukuu wetu watarithi nini Daaah

PUMZIKA KWA AMANI SHUJAA JOHN POMBE MAGUFULI hakika tunakukumbuka sana Shujaa wetu.
 
Nikiwa ndio nimeajiriwa NBC mwaka 2008 kuelekea 2009 kwenye mkutano mmoja NBC MD's road tour, nilimsikia mtu mmoja anahutubia anasema "Mtaimba sana Solidarity forever lakini mtabaki hapo hapo,Mimi nimeomba nafasi ya COO wa NBC nimeitwa kwenye interview nimekutana na makaburu tu hakuna Mtanzania, nikaenda South Africa nikawagaragaza makaburu kwenye interview na nikapata nafasi hii niliyonayo sasa, sasa Nina nyumba ya privilege na gari ya privilege lakini ninyi mnalalamika hampandishwi vyeo na Watanzania wanasema kazi hamna wakati nafasi ya ukurugenzi wa Posta bank imetangazwa mwaka wa pili sasa hakuna aliyeomba?" nikauliza wenzangu huyu nani wakasema Maharage Chande,Chief Operating Officer,COO niliguswa sana na maneno yake,

Maharage Chande akaendelea "Mimi sikai milele kwenye hiki cheo nakaa miaka miwili na nataka ukurugenzi kama sio hapa basi popote pale,akageuka kumcheki Lawrence Mafuru aliyekuwa Head of Finance nae alikuwa anautaka ukurugenzi wa NBC na wote wakageuka kumtazama Vermaas aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NBC,kaburu alitikisa kichwa kukubaliana nao, Lawrence Mafuru alianza kukaimu nafasi ya Ukurugenzi Mkuu wakati Vermaas akienda Christmas Holiday,na mwaka mmoja mbele Lawrence Mafuru akawa Mkurugenzi Mkuu wa NBC na mwaka mmoja mbele Maharage Chande akawa Mkurugenzi Mkuu wa Multichoice Afrika Mashariki.

Nimalizie kwa kusema,story hii iitwe Mr Beans our inspiration.
Siyo kwamba Maharage ni mbaya ila amejikuta katikati ya msitu wa Mbwamwitu ambao wana njaa na ili wale wanahitaji mtu mwenye akili ya Kusimamia maslahi Yao,sasa Maharage afanyeje,aachane na Mafioso Gang au auwawe?
Tunaongea tu,lakini ukishaingia kwenye circles za Mafioso,hutoki na wewe unakuwa kama wao tu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ukiondoa mifumo mibovu ya uendeshaji wa nchi yetu huyu Maharage Chande nahisi atakuwa vizuri tu kiutendaji ila ndio ivyo wakina January wameamua kumuingiza kwenye mifumo yao ya upigaji na sasa kumuharibia kabisa CV yake nzurii aliyoipambania mda mrefu kuitengeneza.

Sidhani kama Multichoice wanaweza kumpa Zonal MD mtu ambaye ni mbumbumbu kichwani haiingii akilini kutakuwa na namna huyu bwana wamemchezeshea wakubwa ili aonekane yeye ndio mbaya ila kuna watu nyuma wamepiga ela zetu kupitia yeye

Hii ilishawahi kutokea kipindi cha nyuma Lowasa alivyotolewa chambo ili wakubwa waendelee kula kuku kwa mrija

Masikini TANZANIA yangu wajukuu wetu watarithi nini Daaah

PUMZIKA KWA AMANI SHUJAA JOHN POMBE MAGUFULI hakika tunakukumbuka sana Shujaa wetu.
Maharage wanamtumia kufanya Umafia,hivi unafikiri kuna Kijana gani anaweza kuacha kazi kubwa kama ya Maharage kule Multichoice alafu akubali kuongoza lishirika la ovyo kama TANESCO.
Hao watu Huwa ni kama wanatekwa na Mafioso wa humu ndani kwa maslahi Yao,ukikataa maelekezo Yao,umekwisha.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Maharage Chande ana UTHUBUTU....

Watanzania walio wengi wanawachukia sana WENYE UTHUBUTU wa kubadilisha "status quo".....

Huwaundia majungu...
Huwaundia fitina.....

Huwapikia fitina kweli kweli.....

Pamoja na hayo ,mh.Rais Samia Suluhu Hassan amefanya sahihi kumuondoa Maharagande Chande pale TTCL kwa kuepusha MIGONGANO YA KIMASLAHI
 
Nikiwa ndio nimeajiriwa NBC mwaka 2008 kuelekea 2009 kwenye mkutano mmoja NBC MD's road tour, nilimsikia mtu mmoja anahutubia anasema "Mtaimba sana Solidarity forever lakini mtabaki hapo hapo,Mimi nimeomba nafasi ya COO wa NBC nimeitwa kwenye interview nimekutana na makaburu tu hakuna Mtanzania, nikaenda South Africa nikawagaragaza makaburu kwenye interview na nikapata nafasi hii niliyonayo sasa, sasa Nina nyumba ya privilege na gari ya privilege lakini ninyi mnalalamika hampandishwi vyeo na Watanzania wanasema kazi hamna wakati nafasi ya ukurugenzi wa Posta bank imetangazwa mwaka wa pili sasa hakuna aliyeomba?" nikauliza wenzangu huyu nani wakasema Maharage Chande,Chief Operating Officer,COO niliguswa sana na maneno yake,

Maharage Chande akaendelea "Mimi sikai milele kwenye hiki cheo nakaa miaka miwili na nataka ukurugenzi kama sio hapa basi popote pale,akageuka kumcheki Lawrence Mafuru aliyekuwa Head of Finance nae alikuwa anautaka ukurugenzi wa NBC na wote wakageuka kumtazama Vermaas aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NBC,kaburu alitikisa kichwa kukubaliana nao, Lawrence Mafuru alianza kukaimu nafasi ya Ukurugenzi Mkuu wakati Vermaas akienda Christmas Holiday,na mwaka mmoja mbele Lawrence Mafuru akawa Mkurugenzi Mkuu wa NBC na mwaka mmoja mbele Maharage Chande akawa Mkurugenzi Mkuu wa Multichoice Afrika Mashariki.

Nimalizie kwa kusema,story hii iitwe Mr Beans our inspiration.
 
Itoshe kusema kwamba January ndio kaharibu image ya huyu kijana...yaani Jamii inaona huyu bwana maharage kama mtu aliyefail kuongoza Tanesco why apelekwe kwingine?
 
Nikiwa ndio nimeajiriwa NBC mwaka 2008 kuelekea 2009 kwenye mkutano mmoja NBC MD's road tour, nilimsikia mtu mmoja anahutubia anasema "Mtaimba sana Solidarity forever lakini mtabaki hapo hapo,Mimi nimeomba nafasi ya COO wa NBC nimeitwa kwenye interview nimekutana na makaburu tu hakuna Mtanzania, nikaenda South Africa nikawagaragaza makaburu kwenye interview na nikapata nafasi hii niliyonayo sasa, sasa Nina nyumba ya privilege na gari ya privilege lakini ninyi mnalalamika hampandishwi vyeo na Watanzania wanasema kazi hamna wakati nafasi ya ukurugenzi wa Posta bank imetangazwa mwaka wa pili sasa hakuna aliyeomba?" nikauliza wenzangu huyu nani wakasema Maharage Chande,Chief Operating Officer,COO niliguswa sana na maneno yake,

Maharage Chande akaendelea "Mimi sikai milele kwenye hiki cheo nakaa miaka miwili na nataka ukurugenzi kama sio hapa basi popote pale,akageuka kumcheki Lawrence Mafuru aliyekuwa Head of Finance nae alikuwa anautaka ukurugenzi wa NBC na wote wakageuka kumtazama Vermaas aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NBC,kaburu alitikisa kichwa kukubaliana nao, Lawrence Mafuru alianza kukaimu nafasi ya Ukurugenzi Mkuu wakati Vermaas akienda Christmas Holiday,na mwaka mmoja mbele Lawrence Mafuru akawa Mkurugenzi Mkuu wa NBC na mwaka mmoja mbele Maharage Chande akawa Mkurugenzi Mkuu wa Multichoice Afrika Mashariki.

Nimalizie kwa kusema,story hii iitwe Mr Beans our inspiration.
maharage ameingia NBC 2010 baada ya mafuru kuwa MD
 
Nikiwa ndio nimeajiriwa NBC mwaka 2008 kuelekea 2009 kwenye mkutano mmoja NBC MD's road tour, nilimsikia mtu mmoja anahutubia anasema "Mtaimba sana Solidarity forever lakini mtabaki hapo hapo,Mimi nimeomba nafasi ya COO wa NBC nimeitwa kwenye interview nimekutana na makaburu tu hakuna Mtanzania, nikaenda South Africa nikawagaragaza makaburu kwenye interview na nikapata nafasi hii niliyonayo sasa, sasa Nina nyumba ya privilege na gari ya privilege lakini ninyi mnalalamika hampandishwi vyeo na Watanzania wanasema kazi hamna wakati nafasi ya ukurugenzi wa Posta bank imetangazwa mwaka wa pili sasa hakuna aliyeomba?" nikauliza wenzangu huyu nani wakasema Maharage Chande,Chief Operating Officer,COO niliguswa sana na maneno yake,

Maharage Chande akaendelea "Mimi sikai milele kwenye hiki cheo nakaa miaka miwili na nataka ukurugenzi kama sio hapa basi popote pale,akageuka kumcheki Lawrence Mafuru aliyekuwa Head of Finance nae alikuwa anautaka ukurugenzi wa NBC na wote wakageuka kumtazama Vermaas aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NBC,kaburu alitikisa kichwa kukubaliana nao, Lawrence Mafuru alianza kukaimu nafasi ya Ukurugenzi Mkuu wakati Vermaas akienda Christmas Holiday,na mwaka mmoja mbele Lawrence Mafuru akawa Mkurugenzi Mkuu wa NBC na mwaka mmoja mbele Maharage Chande akawa Mkurugenzi Mkuu wa Multichoice Afrika Mashariki.

Nimalizie kwa kusema,story hii iitwe Mr Beans our inspiration.
Kwa huu uzi ulitaka maharage aendelee pale Tanesco ndio maana yako!
 
Back
Top Bottom